AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Najua kwamba upo humu jamvini, kumbuka zile ahadi ulizotoa za kufanya harakati ktk kuwashinikiza wale wote waliohodhi ardhi ya wameru ili irudishwe tena mikononi mwa wananchi.
"OPERESHENI WAJIBIKAJI"
mhe kabwe zitto ameonesha njia kwa kuishinikiza serikali iwawajibishe viongozi wazembe wote,hapo ndio na ww unatakiwa uanze kwa kufanya harakati ili kumshinikiza mzee mtei arudishe ardhi kubwa aliohodhi kule meru na ikibid uandae maandamaano rasmi ya kumshinikiza huyo mzee arudishe ardhi ya wananchi na baada ya hapo ufate kwa wawekezaji na ndipo utakuwa umetimiza ahadi na dhana nzima ya ' OPERESHENI WAJIBIKAJI.
"OPERESHENI WAJIBIKAJI"
mhe kabwe zitto ameonesha njia kwa kuishinikiza serikali iwawajibishe viongozi wazembe wote,hapo ndio na ww unatakiwa uanze kwa kufanya harakati ili kumshinikiza mzee mtei arudishe ardhi kubwa aliohodhi kule meru na ikibid uandae maandamaano rasmi ya kumshinikiza huyo mzee arudishe ardhi ya wananchi na baada ya hapo ufate kwa wawekezaji na ndipo utakuwa umetimiza ahadi na dhana nzima ya ' OPERESHENI WAJIBIKAJI.