God bless Nassari
Nitakuwa Maji ya Chai wakati wa uchaguzi
uliahidi ukifika huko utammaliza Mwigulu mbona mpaka sasa hujasema chochote au ulikuwa unamtishia nyau au mmeyamaliza kikubwa i mean umepokea rushwa??????Nitaendelea kuripoti kila kinachojiri katika kampeni
Huna jipya wewe bila shaka wewe ndiwe uliyemkimbia mmeo wa ndoa na kumfuata Padre Slaa,maandiko yamesema wazi kama ndiwe wote wewe na mumeo ni wazinifu,hatuwezi peleka ikulu,wachafu kama nyie!
usihukumu usije ukahukumiwa, kipimo umpimiacho mwenzio ndio hichohicho utapimiwa wewe, toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo uone kibanzi kwenye jicho la mwenzio kazi ya kuhumu ni ya mungu usichukue mahali pake kuhumu, je wewe una usafi gani wa kuwaita wengine wachafu?? politically attend issues not personalities!Huna jipya wewe bila shaka wewe ndiwe uliyemkimbia mmeo wa ndoa na kumfuata Padre Slaa,maandiko yamesema wazi kama ndiwe wote wewe na mumeo ni wazinifu,hatuwezi peleka ikulu,wachafu kama nyie!
Nani mwizi kati ya yule anayechangisha kipindi cha kampeni na kuzikataa ruzuku au wanaopora aridhi za wananchi huko arumeru na gairo na kibaigwa.
Nitaendelea kuripoti kila kinachojiri katika kampeni
Pesa za ruzuku wale MBOWE na SLAA halafu wakati wa uchaguzi utembeze bakuli! hii imekaaje siyo kuwaibia wananchi?
Nimekosa neno la kukujibu ila wewe ni @#$%^&* wa head!Huyu anayekwenda kuwapaka wananchi mafuta kwa mgongo wa chupa ni hatari zaidi. Wao wanajua ardhi inaporwa wakati wa kkampeni tu? si wana viongozi huku majimboni kwa nini wasiripoti? au CHADEMA si chama bali ni Wanaharakati mbona hamueleweki? Hivi unajua ruzuku wanazozikataa zinatoka wapi? si kwa wananchi hao unaowatembezea bakuli na kuwanyang'anya kile walichobakiza baada ya kukupa zako huku kwenye ruzuku?NGOJA nikuache manake kama hujelewa kuwa wewe ni white paper basi.
Pole mkuu wewe ni mstaarabu vya kutosha kujibizana na watu wanaohitaji kuwaona madaktari wa akili kule mirembe.usihukumu usije ukahukumiwa, kipimo umpimiacho mwenzio ndio hichohicho utapimiwa wewe, toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo uone kibanzi kwenye jicho la mwenzio kazi ya kuhumu ni ya mungu usichukue mahali pake kuhumu, je wewe una usafi gani wa kuwaita wengine wachafu?? politically attend issues not personalities!
Ndugu yangu CHADEMA sio CCM na mahela ya wizi, hata Marekani Obama alichangiwa na watu wa kawaida one dollar kampeini. Kwa njia hiyo tutaepuka rushwa tuweke watu wetu wenyewe si mamluki, mapandikizi!!!!!!Tunakihujumu Chama. Tupunguze mshahara wa SLAA toka mil. 12 hadi saba kwa mwezi ili chama kisiwaongezee mzigo wa wananchi kwa kutembeza bakuli kikiomba pesa za kampeni
Wazee huyu ni Ritz kabadili ID, pole kaka mwaka huu mtajua CHADEMA NI KITU GANI!!!!!!!!Usimwamshe aliyelala utalala wewe. Mimi nimejiamsha mwenyewe pesa yangu hamuipati tena ng'o na bakuli lenu , kumbe Ndiyo sera ya CHADEMA ya kumtoa mmoja mmoja kwa bakuli hata kama mnajua wazi kuwa ubunge hampati?. Tusidanganyane hapa kwa hili la bakuli tunawaibia wananchi jamani. Au zingine ni kwa ajili ya kulipa deni la MBOWE manake nasikia anakidai chama fedha nyingi sana. Sasa huyu naye anatugharimu ni Mwenyekiti wa Chama au ni Mfanyabiashara ndani ya Chama?
mbwa wewe hujui siasa.....we nataka jaluo iendelee teswa na ccm ya mafisadi???senchiiiiiii....dog.....jingaweweeeeeee......mi tapigia kura chadema pale usa legangapesa za ruzuku wale mbowe na slaa halafu wakati wa uchaguzi utembeze bakuli! Hii imekaaje siyo kuwaibia wananchi?