Nassari anavyowacheza shere CHADEMA

Serikali imekuwa kubwa jinga kuliko kubwa lolote LA kindagate na mtoa mada angalia usijekuwa kiranja wao
 
Siyo tatizo! Mtume Paulo alikuwa msomi kuliko Yesu!kuliko hata mitume wenzie! But still na yeye alikuwa mwanafunzi wa Yesu kristo!
 
Kazi
Kazi ya wanzuki hii! Haijawahi kumwacha mlumumba salama!
 
Serikali imekuwa kubwa jinga kuliko kubwa lolote LA kindagate na mtoa mada angalia usijekuwa kiranja wao
Nassari anajua movie yake ya kwanza mliipenda subirini part 2 amemrikodi mbowe!
 
Nassari anajua movie yake ya kwanza mliipenda subirini part 2 amemrikodi mbowe!
Tatizo hujui chadema, kwa vile imewapita karne nyingi sana kifikra na mipango.Umejiuliza kwanini hawana office ,ccm ndio inalilia km vile ni lumumba imetolewa? UKITAKA PIMA HEMBU JIULIZE KESHO TUKIAMKA NASSER AAMKE KAJINYEA NA MASHITE NAE KAJINYEA.M wenyekiti wa chama gani hatotoka salama?
 
Na hili la kufikiri kila mwanachadema ndio mwenye na fikra unachemka sema ni woga na mahaba ndio yanayokusukuma kuhisi hilo,kosa kama hili walikua nalo cuf wakijihisi ni wajuaji baada ya watu kujua chama kina viongozi wasanii na wanachama ni misekure fulani sasa cuf chali mwendo mdundo chadema ipo kasi kuelekea shimo lile la cuf
SIASA MPAKA 2020
 
Utaumia sana, ila chadema anayebaki ni makini zaidi ya akina Zitto,Mkumbo,Mwigamba na madiwani wanaohongwa na wakuu wa wilaya wenye vichwa na akili ndogo km tuliowaona ktk video. CUF wapo na chadema sasa nadhani uanona jinsi wanavyoitoa ccm kamasi. Na mkicheza itabidi munchukue Lipumba na wapuuzi wake.Maalim na wengine wanaruka mtumbwi na kuendeleza mziki mkubwa zaidi.
 
Hili nalo lilitimia!
 
Leo kapigwa za shingo na tonge la ugali limekwama kooni
 
Njaa ukiuvalia sana kibwaya unawehuka kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…