WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
We need people to sacrifice their time and lives not by creating liberals or civilian wars but lead the hungary Tanzanians to positive changes! inakera sana kuona mfumo unalinda watu wanaokejeli watu wanaofanya juhudi kubwa kuifanya nchi yetu iondokane na mfumo tegemezi!! Leo inaonekana ukiiba vizuri serikali ndo unapata heshima, what the hell is that? Chukulia tu mfano binti kama Wema sepetu anatangaza ana nyumba ya milioni 400, bila serikali kushtuka kapata wapi hizi pesa haraka haraka na wala hawafanyi uchunguzi?I agree with you.kitu ambacho sitaki kusikia kama Mungu ataniweka hai mwaka 2015 ni msamaha kwa Mwizi yeyote aliyeiba mali za umma.Scrutinyi ifanywe hadi ndani ya Usalama wa Taifa
Lugha tutakayoelewa ni ya speed trial and execution/Hakuna compromise katika hili.hakuna uliberali katika.Uliberali wa aina hii utakuwa ni uhuni na unyama dhidi ya wahanga wa ufisadi wa CCM na mafisadi waliolindwa na mfumo kandamizi.....
Ukiona hivyo, maana yake ni nini? Kuna mambo mengi yanafanyika sivyo ndivyo!!