sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,662
Naona mmenishambulia sana,wapo waliokossa uvumilivu na kuamua kunitukana lakini niseme tu kwamba watanzania tumekuwa watu wakubeba hoja kisa kasema mwanasiasa,let's be honest tulikofika politician wameanza kuishiwa hoja sasa wanaparamia hoja za ufisadi.. Huyu nasari namshangaa sana jaman maamuzi yalifanyika katika baraza la madiwani,taratibu huwa zipo wazi that majority voice will carry weight on making decision concern mambo ya halmashauri na mambo mengine yanayohusu maswala ya rasilimali.. Technically yale ndo maamuzi yaliyofikiwa..nassari analia nini? Zipo taratibu za kufuata pale inapotokea baraza la madiwani limevunja katiba,kama anaona baraza limemake blunder decision amefanyaje? Alichokifanya ni kuhukumu baadhi ya madiwani ambao I guess anaoona ni obstacle lakini wanasema ni bora kuwasamehe wauwaji 10, kuliko kumhukumu mtu ambaye ni decent... Nassari ndicho alichofanya anachafua watu, ni tabia mbaya sana. Labda ukufike wewe uitwe fisadi on public while you are decent ndio utajua how painful it is.