wiseman mic
Member
- May 19, 2014
- 17
- 4
"Mda" ndio kitu gani ? Halafu unataka kazi . "Internate" wewe kazi hupati nyie ndio mliopitishwa na GPA za kupikwa. Halafu utakuwa mwanachama wa CCM
Huyu ndio Katigula au Maziku anakufundisha kuandika dizaini hii? teh teh
Ni aibu kwa msomi kama wewe!!
"Mda" ndio kitu gani ? Halafu unataka kazi . "Internate" wewe kazi hupati nyie ndio mliopitishwa na GPA za kupikwa. Halafu utakuwa mwanachama wa CCM
Natafuta kazi ya mda huu wa miezi miwili ninasomea BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION, lakini nina ujuzi wa computer (typing and internate skills) ningefrai kama ningepata kazi hizo au kama kuna za ziada nipo tayari pia.
Namba zangu ni
0758 018597