Acha uvivu, zunguka pita ongea na watu live, msiwe mna underestimate the power of talking to someone face to face. Kuomba kazi kwa style hii utapata watu ambao hawako serious, watu wanaotafuta watu ambao ni desperate kwa hiyo inakua inawapa sana advantage ya kukumanipulate wanavyotaka. Njia kama hizi ndo maana wadada mwisho wa siku wanaombwa watoe mzigo. This is the worst way of looking for a job. Worst... Please stop