shuka chini
Member
- Feb 27, 2024
- 99
- 259
Kiukweli watanzania tumekuwa na hamu sana ya kuona timu zetu zinafanya vizuri sana kimataifa.
Lakini inatakiwa juhudi kubwa sana ya nje ya uwanja na ndani ya uwanja.Tena tunatakiwa tuwe na uwezo wa kushinda kuanzia goli mbili kwa sifuri.
Sasa utabili wangu mimi shuka chini ni huu Simba hapa Dar atapigwa mbili moja halafu yanga atashinda moja bila.
Tukutane jumapili baada ya mechi zote.
Lakini inatakiwa juhudi kubwa sana ya nje ya uwanja na ndani ya uwanja.Tena tunatakiwa tuwe na uwezo wa kushinda kuanzia goli mbili kwa sifuri.
Sasa utabili wangu mimi shuka chini ni huu Simba hapa Dar atapigwa mbili moja halafu yanga atashinda moja bila.
Tukutane jumapili baada ya mechi zote.