Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,362
Mana haikuwa chakuonana face to face bado .
Nilipata mshutuko pale nilimpigia simu nikamwambia mbona umekata akadai hataki watu wake wajue nipo naye maana yupo na marafiki zake wanaongea nakufanya kazi za ofisi.