Magezi bugaga
Senior Member
- Jul 7, 2021
- 149
- 161
Usijar utakutana na mwingine aliyeachwa mtaanza maisha mapya.kuimba kupokezana.Ni mtu ambaye niliishi naye miaka kumi na tatu na tulibahatika kupata watoto wanne. Ila leo mama Agness nimempa talaka mahakamani bila kupenda. Imeniuma sana nilimzoea sana mke wangu.
Mama Agness ameniliza sana. Daaah talaka inauma sana kwa mtu uliyemzoea. Nimemuuzi mtu niliyempenda. Ndiyo hivyo tena hatimaye mimi na mke wangu leo mwendo tumeumaliza.