Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,765
biblia inasema vitaumbwa upya na nchi zitageuka, hapo tungoje arudi mara ya pili MWOKOZI WETU YESU KRISTO ndio tutaweza kufanya hivyo
Sasa hiyo ramani ni ya wapi mkuu?
Mzee wa Fund, usidhani, ni kweli ni barabara lakini sio halisia ila ni mchoro wa barabara inayotarajiwa kujengwa. Hiyo kwa taarifa yako huitwa "ramani". Sikumaanisha mipaka ya nchi, hata kiwanja chako watu wa ardhi wanapokupatia title deal wanakupa ramani sio kiwanja kwa kuwa kiwanja unaweza ukawa nacho wakakupimia na kukupa ramani tu. Uliho nkoi?Nadhani ni barabara si ramani.
Kwani waweze wa nani nasi tushindwe tuna nini