Unaongea na wanadaslam??? Saa hiyo unafikir utakumbuka hizi taekwondo?? Saa hiyo nnya debe....
Unautani na roba ya mbao wewe
Hii ni kama nadharia ya kilimo cha matikiti. Ikija vitendo ni hasara tupu.
Mbao yenye misumariUnautani na roba ya mbao wewe
Likija swala la kuvamiwa halina cha dsm wala Tarime. Ni swala la timing na idadi.Huku ni kuwaonea tu wanaume wa daslam haya mambo hawayawezi.....
Hii noma sana
Sahihi kabisa....Likija swala la kuvamiwa halina cha dsm wala Tarime. Ni swala la timing na idadi.
BaaahNakazia, Hata ukidakwa na polisi fanya hivyo hivyo.
Manina bonge la kabali mpaka sura imepauka😀😀😀