Nashukuru sikuzaliwa mkiristo

Nashukuru sikuzaliwa mkiristo

Hili nashukuru sana, maana hivi sasa sijui ningalikuwa vipi.
"Hakika walioamini na wakatenda mema, wao watakuwa katika mabustani yenye neema, wakikaa humo milele." (Qur'an 10:9)

"Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..." (Qur'an 3:19)
Mungu Hana dini, acha chuki
 
Hili nashukuru sana, maana hivi sasa sijui ningalikuwa vipi.
"Hakika walioamini na wakatenda mema, wao watakuwa katika mabustani yenye neema, wakikaa humo milele." (Qur'an 10:9)

"Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..." (Qur'an 3:19)
Hayo mashairi ni nani aliyetunga na anaye Ghani nani??🎤👂
 
Hili nashukuru sana, maana hivi sasa sijui ningalikuwa vipi.
"Hakika walioamini na wakatenda mema, wao watakuwa katika mabustani yenye neema, wakikaa humo milele." (Qur'an 10:9)

"Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..." (Qur'an 3:19)
Ukweli mtupu
 
The moment you say your religion is the only true one and all other religions are wrong, understand this, Your opinions are not different from that of a suicide bomber.

Kiufupi wewe huna tofauti na wale Taliban, Boko Haram jihadists, washambuliaji wa kujitoa mhanga.
 
Hili nashukuru sana, maana hivi sasa sijui ningalikuwa vipi.
"Hakika walioamini na wakatenda mema, wao watakuwa katika mabustani yenye neema, wakikaa humo milele." (Qur'an 10:9)

"Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..." (Qur'an 3:19)
رَبَّنَا لَا تُزِغْ قُلُوْبَنَا بَعْدَ اِذْ هَدَيْتَنَا وَهَبْ لَنَا مِنْ لَّدُنْكَ رَحْمَةً ۚاِنَّكَ اَنْتَ الْوَهَّابُ
 
Huku ukiwa unashangilia kuzaliwa kwenye dini ya haki............wenye kwao wanakuita mtalii uliyekwenda kushangaa tamaduni zao................ajabu wameingiza pesa taslim bilion 8 dola za marekani kwa ujinga wako wa kudhania macca ndio njia ya kwenda kwa muumba..........nikushauli rudi kwenu namabengo ukasafishe kabuli la babu yako maana inawezekana hata kujengewa alijawai wala kuliombea lakini kutwa kucha uko kwa kina mudi unatoa machozi huku mitalo unafukua boko basi haya.................... jitambue chukua hatua............ wenyewe hawawaiti maujaji hapana mnaitwa watalii
 
Sasa kusema nashukuru sijazaliwa kafiri ni chuki nayo ?! We vipi .. nikisema nashukuru sijaziliwa mchaga hiyo nichuki kwa wachaga
Sio chuki Hujakosea.
Hata mimi nashukuru sikuzaliwa muislam mana kiti moto ningekuwa naipata kwa shiida.
 
Back
Top Bottom