Nashukuru sikuzaliwa mkiristo

Nashukuru sikuzaliwa mkiristo

Sio chuki Hujakosea.
Hata mimi nashukuru sikuzaliwa muislam mana kiti moto ningekuwa naipata kwa shiida.
Ni haki yako sikasiriki huyo mwenzako anasema mimi kushukuru kuwa muislam ni chuki ..
 
Hili nashukuru sana, maana hivi sasa sijui ningalikuwa vipi.
"Hakika walioamini na wakatenda mema, wao watakuwa katika mabustani yenye neema, wakikaa humo milele." (Qur'an 10:9)

"Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..." (Qur'an 3:19)
GK4ypGVWAAA0IeM.jpeg
 
Nina chujojua Mungu ni Mmoja na hana dini... Halafu hata sioni faida ya kupigania dini.. Ili mradi maisha ni mpito.. Nachukulia dini zote kama mtindo wa maisha tu... Kikubwa Naamini katika Mungu..
 
Hili nashukuru sana, maana hivi sasa sijui ningalikuwa vipi.
"Hakika walioamini na wakatenda mema, wao watakuwa katika mabustani yenye neema, wakikaa humo milele." (Qur'an 10:9)

"Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..." (Qur'an 3:19)
Hivyo vikopo vyenu Vya kutu mnavyochambia ndo unaonea fahari?
 
Back
Top Bottom