rekodi inakuhukumu
bora andika barua tu aisee
kwa woga unaweza mwita
badala ya kuongea, ukamzaba kibao
hahaha!!,kudadeki zako,jichagulie zawadi kwa kunichekesha nikiwa kikaoni!!
rekodi inakuhukumu
bora andika barua tu aisee
kwa woga unaweza mwita
badala ya kuongea, ukamzaba kibao
Mwambie shes the only angel missing in heaven,and that youve tried to gather courage all those years in vain,and even now youre still struggling-but that shouldnt matter anymore, the truth is youve always loved her,you still do and you forever will..
Hapo kwny you weka i wakati unamwambia..afu malizia, i want to be with you,
nimetongoza mara 6 nmekubaliwa mara 1, na aliyenikubali hakua na tabia nzuri so nikamuacha
Duuu!?Unaonekana ka dating consultant!?
nimetongoza mara 6 nmekubaliwa mara 1, na aliyenikubali hakua na tabia nzuri so nikamuacha
man mwanaume wakwelii haogopii vibuti.mimii hadi leo na vibutiiii 450 na win 550 idadi ya kutongoza ni 1000,now ni mme iprove,ukipigwaa kibuti unajipaa changamoto na kujipangaa kwa style ingine.afuu kwanini usononeshe moyo wako sema kilichopo moyoni mchane live bilaa chengaaa,utazubaa wezako washapuu wabebe ubaki na jerahaa..bora sema mapema.then huyo demu sorry mwanamke unahisi anafeeling zozote juu yako usije kukosea kumbe mwanamke walaa hana wazo juu yako
hahahahaha lol! ikichakaa si unaindika upya banaaaa...na kuanza kuvizia tena jinsi ya kuiwakilisha kwa muhusika
Kazana kupiga buku dogo utadisco
aaaaaaaah! achana naye huyo bana ,km vipi niPM .Nshakusoma na kukuelewa ni jinsi gani hujiamini miaka mitatu tuko pamoja hujalonga tu! Achana na mimi sio type yako.
teh teh teh teh! Fowardline mbovu? Cant help laughing. Nimeipenda. Final third department is not clinical. Ndo yale yale mbwa mzee asofunzwa mbinu za kuwinda. Daah! 3rd yr? Unatuangusha wanaume. Chuo gani upo?
naomba kuuliza,
kwan ww hujawahi kutongozaga binty uko nyuma au huwa wanakukataaga ss dis tym wataka hints ili usikataliwe?
Wanajf me ni kijana nasoma chuo kuna msichana nimempenda, kwa ss nko mwaka wa 3,huyu msichana nko nae grp disc tangu frst yr, mpaka naingia 3rd yr ndo nkagundua nampenda kiasi gan, lifestyle yake anaonekana hapa chuoni hana m2,.nimependa sasa nianzaje naomben steps za kumuaproach