Acha wivu bana! Mbona wewe una MPARANGA?Habarini, nmeandika uzi huu ili wana jf mnisaidie mawazo na ushauri kwani naamini huku naweza jua la kufanya juu ya huyu mpenzi wng.
Mimi ni kijana nna 24 years, na mahusianao na binti mmoja ambae nmeanza nae mahusinao since 2015 mpaka hvi leo japo sikua nae karibu muda mwingi kutokana na sababu za kimasomo
Ingawa kwasasa nipo nae karbu japo tabia zake ndo zanishangaza mwanzo alinambia aliwahi kuwa na mpenzi lakini waliachana cha kushangaza mpaka sasa anawasiliana nae kwa mitandao ya jamii na isitoshe baadhi ya picha za Ex wake huyo still anazo (nmeligundua hilo hivi karibuni baada ya kushika simu yake, huwa Sina hyo tabia ila ilinibidi)
Pia nilikutana na chattings akichat na baadhi ya wanaume, huku mmoja wapo akimuomba kwa mparange, nmemuuliza amekataa katakata akidai kua huyo aliwahi kuwa classmate wake na huwa ana story za ajabu Kama hizo.
Nashindwa kuamua nichukue uamuzi gani juu yake hususani ni haya mambo mawili.
1) kuchat na Ex wake na kutunza pic zake.
2) Kuchat na wanaume wengi na mada zinazoongeleka ni mapenzi tu, na mmoja wapo ndo huyo ana muomba kwa mparange.
Naumia sana kwakua nampenda.
Shukran kwa ushauri wako mkuuMkuu pole sana. Ushauri wangu usiendele kupoteza muda mpaka hapo hali sio shwari hauna mchumba wala mke hapo. Ni vizuri ukaanza kutafta utaratibu mpya maana huko mbele utakutana na mazito zaidi yata kumiza kichwa zaidi na zaidi. Swala zima la mahusiano kwa sasa ni gumu mno. Jambo ambalo lina kupa shaka zaidi kwenye ishu ya uaminifu kama hiyo sio salama koz ina onyesha kuwa wewe umeingilia mahusiano yao wao bado wanafanya yao so kuwa makini.
Siko hivyo kakaAcha wivu bana! Mbona wewe una MPARANGA?
Kwa comment hii anahitaji msaada zaidi wa kisaikolojiaww ni zaifu sana unahitaji msaada wa kiaaikolojia
Tafuta pesa kijana, miaka 24 unakimbizana na mademu?Habarini, nmeandika uzi huu ili wana jf mnisaidie mawazo na ushauri kwani naamini huku naweza jua la kufanya juu ya huyu mpenzi wng.
Mimi ni kijana nna 24 years, na mahusianao na binti mmoja ambae nmeanza nae mahusinao since 2015 mpaka hvi leo japo sikua nae karibu muda mwingi kutokana na sababu za kimasomo
Ingawa kwasasa nipo nae karbu japo tabia zake ndo zanishangaza mwanzo alinambia aliwahi kuwa na mpenzi lakini waliachana cha kushangaza mpaka sasa anawasiliana nae kwa mitandao ya jamii na isitoshe baadhi ya picha za Ex wake huyo still anazo (nmeligundua hilo hivi karibuni baada ya kushika simu yake, huwa Sina hyo tabia ila ilinibidi)
Pia nilikutana na chattings akichat na baadhi ya wanaume, huku mmoja wapo akimuomba kwa mparange, nmemuuliza amekataa katakata akidai kua huyo aliwahi kuwa classmate wake na huwa ana story za ajabu Kama hizo.
Nashindwa kuamua nichukue uamuzi gani juu yake hususani ni haya mambo mawili.
1) kuchat na Ex wake na kutunza pic zake.
2) Kuchat na wanaume wengi na mada zinazoongeleka ni mapenzi tu, na mmoja wapo ndo huyo ana muomba kwa mparange.
Naumia sana kwakua nampenda.
Mwaka 2021-mwaka 2015 = miaka 6Mimi ni kijana nna 24 years, na mahusianao na binti mmoja ambae nmeanza nae mahusinao since 2015 mpaka hvi leo japo sikua nae karibu muda mwingi kutokana na sababu za kimasomo
Zingatia huu ushauri, Umri wako bado mdogo sana,tafuta hela kwanza wanawake wapo wengi mno,don't be broke and heart broken, hutaweza kustahimili.Very interesting.......
Mkuu kama umemaliza shule, anza kutafuta hela! utanishukuru baadae!
Zingatia huu ushauri, Umri wako bado mdogo sana,tafuta hela kwanza wanawake wapo wengi mno,don't be broke and heart broken, hutaweza kustahimili.
Sent using Jamii Forums mobile app
probably 16-17Mwaka 2021-mwaka 2015 = miaka 6
Miaka 24 - miaka 6 = miaka 18
Yeye ana miaka mingapi?
Tumepishana miezi, nafikisha 25 next month, ye mpaka Nov..sio mdgo wa umri huo... though nmemtangulia mbele kwa hali ya kiuchumiprobably 16-17
Umbwa wakirangi weweHabarini, nmeandika uzi huu ili wana jf mnisaidie mawazo na ushauri kwani naamini huku naweza jua la kufanya juu ya huyu mpenzi wng.
Mimi ni kijana nna 24 years, na mahusianao na binti mmoja ambae nmeanza nae mahusinao since 2015 mpaka hvi leo japo sikua nae karibu muda mwingi kutokana na sababu za kimasomo
Ingawa kwasasa nipo nae karbu japo tabia zake ndo zanishangaza mwanzo alinambia aliwahi kuwa na mpenzi lakini waliachana cha kushangaza mpaka sasa anawasiliana nae kwa mitandao ya jamii na isitoshe baadhi ya picha za Ex wake huyo still anazo (nmeligundua hilo hivi karibuni baada ya kushika simu yake, huwa Sina hyo tabia ila ilinibidi)
Pia nilikutana na chattings akichat na baadhi ya wanaume, huku mmoja wapo akimuomba kwa mparange, nmemuuliza amekataa katakata akidai kua huyo aliwahi kuwa classmate wake na huwa ana story za ajabu Kama hizo.
Nashindwa kuamua nichukue uamuzi gani juu yake hususani ni haya mambo mawili.
1) kuchat na Ex wake na kutunza pic zake.
2) Kuchat na wanaume wengi na mada zinazoongeleka ni mapenzi tu, na mmoja wapo ndo huyo ana muomba kwa mparange.
Naumia sana kwakua nampenda.