Thas trabo
Senior Member
- Mar 5, 2021
- 130
- 225
.
Shukran kaka, nshaanza tafuta hela nazipata za matumizi yangu, kujali home nilipotoka na kuweka saving pia, bt kweny maisha pia kuna mahusinao.very interesting.......
mkuu kama umemaliza shule, anza kutafuta hela! utanishukuru baadae!
Nashukuru ntaanza lifanyia kaziUnashindwa fanya maamuzi juu ya tabia ya mpenzi wako??..hauko serious kijana..Mara moja Moja jifunze kutumia akili katika maamuzi yako ukiendekeza Moyo utaumia.. mapenzi hayanaga shukrani shauri yako
Wewe huyo mama mjengoAchana nae.
Naamini utanisaidia sana kiongozi tafadhali, ngependa kuipata hyo solutionMapenzi yanatesa jamani pole mkuu, ningekupa solution sema naona hutaweza kuitumia bado una roho nyepesi
Mapenzi na akili wapi na wapi , mwambie atumie moyoUnashindwa fanya maamuzi juu ya tabia ya mpenzi wako??..hauko serious kijana..Mara moja Moja jifunze kutumia akili katika maamuzi yako ukiendekeza Moyo utaumia.. mapenzi hayanaga shukrani shauri yako
😀😬 tumwambie tu ukweli,Wewe huyo mama mjengo
Aendelee kutumia moyoMapenzi na akili wapi na wapi , mwambie atumie moyo
Hapo ni atumie moyo tu, kama alimuingiza pitia moyo basi atumie mlango ule ule kumtoa, kujinusuru na hatari ya kujidhuruAendelee kutumia moyo
Ni ngumu kwangu, kwakwelNa wewe jaribu kumuomba kwa mpalange...akikubali piga halafu achana nae
Next...
And the truth will set him free au sio!?? Mama mjengo wewe, uwe mama mchungaji basi unafaa.tumwambie tu ukweli,
Maneno yako ni kufikirika sana kiongozi lakini nmekuelewa vyemaHapo ni atumie moyo tu, kama alimuingiza pitia moyo basi atumie mlango ule ule kumtoa, kujinusuru na hatari ya kujidhuru
😌😌halafu huwezi amini kuna mahali wananiita hivyo mama mchungaji tangu huu mwaka uanze...au ndio wewe umekuja na huku.?🙄And the truth will set him free au sio!?? Mama mjengo wewe, uwe mama mchungaji basi unafaa.