kazi kwako bei ya Troid ni 8000/
kama uko sehemu ya 3G basi ni mwendo mdundo
Angalia speed zangu nikiwa masaki karibu na Mnara...picha ya torrent ni 3G+ modem na ya IDM ni 7.6Mbps modem(alcatel ya Airtel) sikupi guarrantee utapata speed kama yangu lkn hiyo ndo max speed unaweza pata ili mradi uwe na 3G nzuri eneo lako liwe mjini au kijijini
Troid VPN ni ya Android lkn waweza tumia account hiyo hiyo kwenye PC hivo ni chaguo lako
https://www.jamiiforums.com/matanga...-inauzwa-kwa-mwezi-mzima-sh-10-000-tu-19.html