Nashindwa kuunganisha dots kuhusu VPN

Nashindwa kuunganisha dots kuhusu VPN

Walas Ba

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2012
Posts
3,398
Reaction score
1,743
Updates
=============================<<<===<<<<<<<<<<<<<<=======================================



jaman nashndwa ku attach screenshot but net imo poa so akina tomaso nimewawakulisha vema anzen iko poa



Salamu kwenu

Hapa nilipo nina troidvpn amboya niliambiwa kwamba ni free 1gb kwa kila siku. Lakini mbona hiyo vpn haiwezi fanya kazi bila kuwepo na kifurushi changu?

Pili kwa mfano nipo hapa nimeunga hyo vpn yenu na nadowload inasomeka hv download spid yake ni kb120/15mb sasa hapa nashndwa kuelewa kuna mb15, halafu naona spidi uchwara na vpn ipo inatazama tu me napata shida.


Na kama niklipa hyo cjui elfu nane nitapata bando au nn hasa kitanisaidia ku surf net?


Nataka kuelewe hapa

Samahani kwa uandishi
 
Salamu kwenu

Hapa nilipo nina troidvpn amboya niliambiwa kwamba ni free 1gb kwa kila siku. Lakini mbona hiyo vpn haiwezi fanya kazi bila kuwepo na kifurushi changu?

Pili kwa mfano nipo hapa nimeunga hyo vpn yenu na nadowload inasomeka hv download spid yake ni kb120/15mb sasa hapa nashndwa kuelewa kuna mb15, halafu naona spidi uchwara na vpn ipo inatazama tu me napata shida.


Na kama niklipa hyo cjui elfu nane nitapata bando au nn hasa kitanisaidia ku surf net?


Nataka kuelewe hapa

Samahani kwa uandishi

shughulikia PM niliyokutumia utafanikiwa ikigoma nicheki whatsapp nikutumie picha kabisa
my whatsapp 0753932250
 
Jipatie
Unlimited Internet
Jipatie
TunnelGuru Voucher @
8,000
/Month; PD Proxy Vouchers @
8,000
/Month
4 More info
: 0688148836
 
me cjakataa kuja kwenu nataka maelezo ya kina mfano


Nikiwapa hzo pesa me vifurshi inakuwa basiii???


pia nataka nihakikishiwe kwa maandishi kwamba hii huduma itakupa maspeed haya.


nataka niambiwe hii hudumu inafanya kazi kwa ufanisi hasa wapi mjini au kijini au twanga kote


pia nataka niambiwe hii hduma ni wapi ipo stabo zaid kati ya kwenye cm au pc maana muda mwing huwa nipo na ka android kangu

Mwl.RCT
njunwa wamavoko

asanten sana mpaka hapa
 
Last edited by a moderator:
me cjakataa kuja kwenu nataka maelezo ya kina mfano


Nikiwapa hzo pesa me vifurshi inakuwa basiii???


pia nataka nihakikishiwe kwa maandishi kwamba hii huduma itakupa maspeed haya.


nataka niambiwe hii hudumu inafanya kazi kwa ufanisi hasa wapi mjini au kijini au twanga kote


pia nataka niambiwe hii hduma ni wapi ipo stabo zaid kati ya kwenye cm au pc maana muda mwing huwa nipo na ka android kangu

Mwl.RCT
njunwa wamavoko

asanten sana mpaka hapa

kazi kwako bei ya Troid ni 8000/
kama uko sehemu ya 3G basi ni mwendo mdundo
Angalia speed zangu nikiwa masaki karibu na Mnara...picha ya torrent ni 3G+ modem na ya IDM ni 7.6Mbps modem(alcatel ya Airtel) sikupi guarrantee utapata speed kama yangu lkn hiyo ndo max speed unaweza pata ili mradi uwe na 3G nzuri eneo lako liwe mjini au kijijini
Troid VPN ni ya Android lkn waweza tumia account hiyo hiyo kwenye PC hivo ni chaguo lako
https://www.jamiiforums.com/matanga...-inauzwa-kwa-mwezi-mzima-sh-10-000-tu-19.html
 
kazi kwako bei ya Troid ni 8000/
kama uko sehemu ya 3G basi ni mwendo mdundo
Angalia speed zangu nikiwa masaki karibu na Mnara...picha ya torrent ni 3G+ modem na ya IDM ni 7.6Mbps modem(alcatel ya Airtel) sikupi guarrantee utapata speed kama yangu lkn hiyo ndo max speed unaweza pata ili mradi uwe na 3G nzuri eneo lako liwe mjini au kijijini
Troid VPN ni ya Android lkn waweza tumia account hiyo hiyo kwenye PC hivo ni chaguo lako
https://www.jamiiforums.com/matanga...-inauzwa-kwa-mwezi-mzima-sh-10-000-tu-19.html

Asante man japo hujajibu maswali mengine
 
me cjakataa kuja kwenu nataka maelezo ya kina mfano


Nikiwapa hzo pesa me vifurshi inakuwa basiii???


pia nataka nihakikishiwe kwa maandishi kwamba hii huduma itakupa maspeed haya.


nataka niambiwe hii hudumu inafanya kazi kwa ufanisi hasa wapi mjini au kijini au twanga kote


pia nataka niambiwe hii hduma ni wapi ipo stabo zaid kati ya kwenye cm au pc maana muda mwing huwa nipo na ka android kangu
Mwl.RCT
njunwa wamavoko

asanten sana mpaka hapa

Nikiwapa hzo pesa me vifurshi inakuwa basiii???
Huto nunua tena kifurushi, inakuwa basi - Utalipia tu hiyo vpn
pia nataka nihakikishiwe kwa maandishi kwamba hii huduma itakupa maspeed haya.
Swala la speed inategemeana upo eneo gani, kuna maeneao yana speed nzuli na mengine hayana speed nzuli.
nataka niambiwe hii hudumu inafanya kazi kwa ufanisi hasa wapi mjini au kijini au twanga kote
Mahala popote iwe mjini au kijijini. Hapa swala je sehemu utakayokuwepo coverage ya ISP ikoje, Kama ni week speed ni ndogo, Kama ni strong 3g, Speed kubwa.
pia nataka niambiwe hii hduma ni wapi ipo stabo zaid kati ya kwenye cm au pc maana muda mwing huwa nipo na ka android kangu
Kumbuka hapa kuna software mbili tofauti:- Maalum kwa ajiri ya Simu i.e TroidVPN , na Maalum kwa PC; Software zote ni stable na zinakizi mahitaji.
-->> Kuhusu stability mfano kwenye PC kuna screen shot hii kweny uzi mwingine
gyqd.jpg


Hitimisho
>>Uhondo wa ngoma uingie ucheze.
>> Nitakupa bure
ONE MONTH PREMIUM ACCOUNT ya troid VPN ambayo pia utatumia katika PC yako kwa TunnelGuru: ambayo itakusaidi kujibu baadhi ya maswali ulioyo nayo kuhusu ufanisi wa hivi VPN.
>> Unachotakiwa kufanya jisajili
hapa ili upate username na password kisha nitumie PM au sms 0768 92 48 41

 
Me nimejiunga na pdproxy!! naona inafanya kazi na line yangu yenye kifurushi tu! nikiweka line yenye 0 Tsh inashndwa kuconect! au kuna maujanja mengine ya kuapply ili niweze kufaid ohondo wa pdproxy?!!
 
Me nimejiunga na pdproxy!! naona inafanya kazi na line yangu (voda) yenye kifurushi tu! nikiweka line yenye 0 Tsh inashndwa kuconect! au kuna maujanja mengine ya kuapply ili niweze kufaid ohondo wa pdproxy?!!

Natumia troid vpn inafanya kazi hata kama cna bundle ktk android.
 


Huto nunua tena kifurushi, inakuwa basi - Utalipia tu hiyo vpn

Swala la speed inategemeana upo eneo gani, kuna maeneao yana speed nzuli na mengine hayana speed nzuli.

Mahala popote iwe mjini au kijijini. Hapa swala je sehemu utakayokuwepo coverage ya ISP ikoje, Kama ni week speed ni ndogo, Kama ni strong 3g, Speed kubwa.

Kumbuka hapa kuna software mbili tofauti:- Maalum kwa ajiri ya Simu i.e TroidVPN , na Maalum kwa PC; Software zote ni stable na zinakizi mahitaji.
-->> Kuhusu stability mfano kwenye PC kuna screen shot hii kweny uzi mwingine


Hitimisho
>>Uhondo wa ngoma uingie ucheze.
>> Nitakupa bure
ONE MONTH PREMIUM ACCOUNT ya troid VPN ambayo pia utatumia katika PC yako kwa TunnelGuru: ambayo itakusaidi kujibu baadhi ya maswali ulioyo nayo kuhusu ufanisi wa hivi VPN.
>> Unachotakiwa kufanya jisajili
hapa ili upate username na password kisha nitumie PM au sms 0768 92 48 41


Natumiaje ktk pc?android haina shida..
 
  • Katika PC utatumia TunnelGuru, The same userID & Password ndio utatumia katika katika simu yako ya android kama tayari umeweka TroidVPN

Naomba ufafanuzi. Hapa sijakuelewa.

Ninatumia ktk android...kuhusu pc,unatumia modem yeyote au kuna specific ones kwa maana ya mtandao?..yangu ni ya zantel zile zisizokuwa na sim card.
 
Ninatumia ktk android...kuhusu pc,unatumia modem yeyote au kuna specific ones kwa maana ya mtandao?..yangu ni ya zantel zile zisizokuwa na sim card.
  • Modem yeyote universal, yaani modem ambayo waweza kuweka simcard yeyote tofauti.
  • &#8203;Application ya Android iko safi.
 
Back
Top Bottom