Updates
=============================<<<===<<<<<<<<<<<<<<=======================================
jaman nashndwa ku attach screenshot but net imo poa so akina tomaso nimewawakulisha vema anzen iko poa
Salamu kwenu
Hapa nilipo nina troidvpn amboya niliambiwa kwamba ni free 1gb kwa kila siku. Lakini mbona hiyo vpn haiwezi fanya kazi bila kuwepo na kifurushi changu?
Pili kwa mfano nipo hapa nimeunga hyo vpn yenu na nadowload inasomeka hv download spid yake ni kb120/15mb sasa hapa nashndwa kuelewa kuna mb15, halafu naona spidi uchwara na vpn ipo inatazama tu me napata shida.
Na kama niklipa hyo cjui elfu nane nitapata bando au nn hasa kitanisaidia ku surf net?
Nataka kuelewe hapa
Samahani kwa uandishi
=============================<<<===<<<<<<<<<<<<<<=======================================
jaman nashndwa ku attach screenshot but net imo poa so akina tomaso nimewawakulisha vema anzen iko poa
Salamu kwenu
Hapa nilipo nina troidvpn amboya niliambiwa kwamba ni free 1gb kwa kila siku. Lakini mbona hiyo vpn haiwezi fanya kazi bila kuwepo na kifurushi changu?
Pili kwa mfano nipo hapa nimeunga hyo vpn yenu na nadowload inasomeka hv download spid yake ni kb120/15mb sasa hapa nashndwa kuelewa kuna mb15, halafu naona spidi uchwara na vpn ipo inatazama tu me napata shida.
Na kama niklipa hyo cjui elfu nane nitapata bando au nn hasa kitanisaidia ku surf net?
Nataka kuelewe hapa
Samahani kwa uandishi