BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,125
- 732
Habari Ndugu,
Natumia Samsung tablet kwa miaka 3 sasa. Inanipa changamoto, kila nikidownload document za Pdf na Word zinagoma kufunguka.
Naombeni msaada kwa hilo.
Natumia Samsung tablet kwa miaka 3 sasa. Inanipa changamoto, kila nikidownload document za Pdf na Word zinagoma kufunguka.
Naombeni msaada kwa hilo.