pingu mkoka
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 434
- 112
Huyu jamaa yupo kigoma na ziara ya pamoja na Kinana.
Sasa anawahutubia wananchi kwamba sisi ccm ni chama makini tutaendele kutekeleza ahadi zetu kama tulivyo waahid,msiwasikilize wapinzan hawana sera.
Anawambia tumeenda KARENGA tumewapiga,tumeenda CHALINZE tumewapiga.
Sasa mimi najiuliza kwani haya majimbo yote hayo yalikuwa ya upinzani au yalikuwa Ya CCM?amempiga nani sasa?
Sasa anawahutubia wananchi kwamba sisi ccm ni chama makini tutaendele kutekeleza ahadi zetu kama tulivyo waahid,msiwasikilize wapinzan hawana sera.
Anawambia tumeenda KARENGA tumewapiga,tumeenda CHALINZE tumewapiga.
Sasa mimi najiuliza kwani haya majimbo yote hayo yalikuwa ya upinzani au yalikuwa Ya CCM?amempiga nani sasa?