Ibrahim-Pasha
Member
- Dec 16, 2018
- 47
- 86
Subiri yakukute, utajua la kufanya...Habari wana jf mm niko na mpenz wang tunaelekea kumaliza mwaka sasa katika mahusiano yetu mwanzo tulipendana sana tena sana lakin kwa sasa huyu mwenzangu kabadlika yup busy hakutafut mpka nimtafte mm naweza kaa ata siku 3 kimya nae hukaa hvyo hvyo hata nikmtishi nikimwambia tuachane yeye anachukulia kawaida tuu anajibun"poa " kwa kwel nashindwa kumuacha kila nikimuacha najikuta nimemrudia nikkausha najikuta nimemtafta tena.. Ushauri wenu ndugu ......plz
Ashakuoan lofa tu, ujue ana mtu ambaye ndiye anamuoa keki. Atakuwa na wewe kwasababu labda unampa viela vyako napo hajali sana. Things will never be the same again mkuu piga moyo konde achana naye utaishi kwa stress. Wewe kwake kwa sasa ni second choice.Habari wana jf mm niko na mpenz wang tunaelekea kumaliza mwaka sasa katika mahusiano yetu mwanzo tulipendana sana tena sana lakin kwa sasa huyu mwenzangu kabadlika yup busy hakutafut mpka nimtafte mm naweza kaa ata siku 3 kimya nae hukaa hvyo hvyo hata nikmtishi nikimwambia tuachane yeye anachukulia kawaida tuu anajibun"poa " kwa kwel nashindwa kumuacha kila nikimuacha najikuta nimemrudia nikkausha najikuta nimemtafta tena.. Ushauri wenu ndugu ......plz
Shukran mkuuAshakuoan lofa tu, ujue ana mtu ambaye ndiye anamuoa keki. Atakuwa na wewe kwasababu labda unampa viela vyako napo hajali sana. Things will never be the same again mkuu piga moyo konde achana naye utaishi kwa stress. Wewe kwake kwa sasa ni second choice.
Alafu wanasema hakuna limbwataWatu waliorogwa bhana...π
Ni mkimya?Mkuu nimempenda tu wala sijampndea tako wala mauno moyo tuu umempendaa
Yan hakuna kosa kubwa kama hili!!! Yan mkiachana na demu af ww ukaleta kiherehere cha kumtafuta wa kwanza ili mrudiane atakupelekesha huyo mpaka ukome!!Hutoshi Wewe Mwenyewe Yaani Unamuacha Halafu Unamrudia, Haa π πππππ€£ππππ€£
Hoja Mlendamlenda, Atakusumbua Sana!!
Vuta ugoroHabari wana jf mm niko na mpenz wang tunaelekea kumaliza mwaka sasa katika mahusiano yetu mwanzo tulipendana sana tena sana lakin kwa sasa huyu mwenzangu kabadilika yup busy hakutafuta mpaka nimtafte mimi naweza kaa hata siku 3 kimya nae hukaa hivyo hivyo hata nikimtisha nikimwambia tuachane yeye anachukulia kawaida tuu anajibuni"poa " kwa kwel nashindwa kumuacha kila nikimuacha najikuta nimemrudia nikkausha najikuta nimemtafta tena.. Ushauri wenu ndugu ......plz
Kwanza wewe ni mpumbavu!yup busy hakutafuta mpaka nimtafte mimi naweza kaa hata siku 3 kimya nae hukaa hivyo hivyo hata nikimtisha nikimwambia tuachane yeye anachukulia kawaida tuu anajibuni"poa "
Habari wana jf mm niko na mpenz wang tunaelekea kumaliza mwaka sasa katika mahusiano yetu mwanzo tulipendana sana tena sana lakin kwa sasa huyu mwenzangu kabadilika yup busy hakutafuta mpaka nimtafte mimi naweza kaa hata siku 3 kimya nae hukaa hivyo hivyo hata nikimtisha nikimwambia tuachane yeye anachukulia kawaida tuu anajibu"poa " kwa kwel nashindwa kumuacha kila nikimuacha najikuta nimemrudia nikkausha najikuta nimemtafta tena.. Ushauri wenu ndugu ......plz
Umempendea nini? Tako au mauno?
Moyo tuu unampenda