Nashindwa kujigawa mimi ni mwalimu na ni fundi kunyoa

nipo online

JF-Expert Member
Sep 10, 2022
208
435
Pesa ya mwisho wa mwezi ni ngoja ngoja sana, lakini pesa ya kila siku saloon pia tamu, nashindwa kujigawa nikapiga kote kote. Naomba mwenye kunishauri katika situation kama hii. Ndo kwanza nataka kafungua hii salon kuweka mtu nasikia hua wanapiga sana. Hii ni kutokana na kutaka plan B ya sosi of income. Usinitukane nishauri tu kirafiki. NB nipo private.
 
Pesa ya mwisho wa mwezi ni ngoja ngoja sana, lakini pesa ya kila siku saloon pia tamu, nashindwa kujigawa nikapiga kote kote. Naomba mwenye kunishauri katika situation kama hii. Ndo kwanza nataka kafungua hii salon kuweka mtu nasikia hua wanapiga sana. Hii ni kutokana na kutaka plan B ya sosi of income. Usinitukane nishauri tu kirafiki. NB nipo private.
Piga watoto vipara kwa sana na mkasi. Alafu introduce sare ya kunyoa shuleni. Kwenye vioo vya saluni weka, white board marker pen. Wakija kunyoa endelea kufundisha hesabu.
 
Ndio wewe saluni yako iliyoandikwa TEACHER'S HAIR CUTTING SALON? Timiza kwanza kwanya majukumu yako ya kufundisha then nenda kanyoe wateja wako, kunyoa ni kazi ya ziada tu kama vipi ajiri mtu wa kunyoa we endelea na kazi uliyosaini kuifanya mpaka ustaafu ulipwe mafao yako na upate pensheni ya uzeeni mpaka mwisho wa maisha yako hapa duniani
 
Kama upo private nowdays hamna mishahara acha kazi uje utunyoe hadi vz
 
Back
Top Bottom