Nashindwa kuinstall App. Msaada.

BabaPrince

Senior Member
Joined
Jan 10, 2016
Posts
137
Reaction score
56
Nilitaka kuinstall App mpya kwenye simu yangu ila kila nikijaribu inaniandikia "insufficient storage" nikajaribu kufuta App moja nikajaribu kuinstall tena ikagoma. Nikafuta nyingine bado ikagoma. Nikafuta App zingine mbili bado inaandika insufficient storage! Ok nikajaribu basi nirudishe zile nilizozifuta cha ajabu tena inaniambia hivyo hivyo! Sijajua tatizo ni nini hapo. Najua humu kuna wataalamu zaidi. Asanteni waungwana. Nawasilisha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…