Msaada: Simu yangu imejaa pamoja na kufuta

Msaada: Simu yangu imejaa pamoja na kufuta

tonii herrera

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2015
Posts
416
Reaction score
282
Wataalam naombeni msaada wenu.simu yngu kila nikitaka kudownload apps inaniandikia insuffient storage device.

Nimefuta karibu vitu vyote space iwepo lakini nikidownload tena inaandika hivyo hivyo. Sasa nashindwa kuelewa tatizo ni nini?

#msaada wenu wakuu
 
wataalam naombeni msaada wenu.simu yngu kila nikitaka kudownload apps inaniandikia insuffient storage device.

nimefuta karibu vitu vyote space iwepo lkn nikidownload tena inaandika hivo hivo.sa nashindwa kuelewa tatizo ni nn

#msaada wenu wakuu


Simu inaposema insufficient storage hapo kinachohusika ni ile system partition ambayo kwa simu nyingi huwezi kuiona. Hivyo vitu ulivyofuta vipo kwenye partition tofauti kabisa na partition ya downloads.

Fanya kuUninstall apps kadhaa.
Pia kama simu yako inasuport option ya default storage to SDCARD fanya hivyo
 
duh!!!android hapana.......blackberry z. na microsoft mobile
 
asante mkuu mollel ngoja nijarib nione


Pia ikishindikana unaweza kuwa unaDownload Apps kwa kutumia browser kawaida then unaInstall manually, pia hii ni njia nzuri.una weza kuDownload kupitia website ya APK4FUN
 
Back
Top Bottom