Nashindwa kuiacha CCM

Nashindwa kuiacha CCM

Tanya

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2013
Posts
340
Reaction score
159
CCM ni chama ambacho wengi wa vijana tumekuwa tukiponda sana kwamba ooh mafisadi, na mengineyo mengi na mimi sometimes natiwa majaribuni kuchukia chama lakini siwezi ile kuchukua hatua kuhama chama hiki kwa sababu bado nakipenda sana kwa misingi kiliyojiwekea yenye macho ya mbele.
Moyoni mwangu nashuhudiwa kwamba na uchaguzi ujao kitashinda kwa ushindi wa kishindo kwa sababu bado misingi yake haijavurugika, maadili ya chama yako tele, viongozi wanaojitambua, na wnachama mahili.
Nawashauri ndugu zanguni tuunge mkono chama chetu cha Mapinduzi. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!!
 
CCM ni chama ambacho wengi wa vijana tumekuwa tukiponda sana kwamba ooh mafisadi, na mengineyo mengi na mimi sometimes natiwa majaribuni kuchukia chama lakini siwezi ile kuchukua hatua kuhama chama hiki kwa sababu bado nakipenda sana kwa misingi kiliyojiwekea yenye macho ya mbele.
Moyoni mwangu nashuhudiwa kwamba na uchaguzi ujao kitashinda kwa ushindi wa kishindo kwa sababu bado misingi yake haijavurugika, maadili ya chama yako tele, viongozi wanaojitambua, na wnachama mahili.
Nawashauri ndugu zanguni tuunge mkono chama chetu cha Mapinduzi. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!!

Huna lolote....njaa tu inakuponza....
 
Tanya are you serious!kuwa viongozi wa CCM wanajitambua,wanamaadili na wako mahiri?Jaribu kujitazama upya una tatizo ndugu yangu.CCM ile ya Nyerere siyo CCM ya leo.Endelea tu tafuta eneolingine hilo limeshakwisha.Pole sana pia kwa kufikiri unavyofikiri nakuonea huruma sana.😛ray:
 
Vijana wa UFIPA karibuni mmwage matusi kama kawaida yenu.
 
CCM ni chama ambacho wengi wa vijana tumekuwa tukiponda sana kwamba ooh mafisadi, na mengineyo mengi na mimi sometimes natiwa majaribuni kuchukia chama lakini siwezi ile kuchukua hatua kuhama chama hiki kwa sababu bado nakipenda sana kwa misingi kiliyojiwekea yenye macho ya mbele.
Moyoni mwangu nashuhudiwa kwamba na uchaguzi ujao kitashinda kwa ushindi wa kishindo kwa sababu bado misingi yake haijavurugika, maadili ya chama yako tele, viongozi wanaojitambua, na wnachama mahili.
Nawashauri ndugu zanguni tuunge mkono chama chetu cha Mapinduzi. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!!

tehetehe.... Haya maneno ukiyasema kwenye daladala ingekuwa safi sana....
 
Tz kuna chama kimoja tu siasa nacho ni ccm
 
CCM ni chama ambacho wengi wa vijana tumekuwa tukiponda sana kwamba ooh mafisadi, na mengineyo mengi na mimi sometimes natiwa majaribuni kuchukia chama lakini siwezi ile kuchukua hatua kuhama chama hiki kwa sababu bado nakipenda sana kwa misingi kiliyojiwekea yenye macho ya mbele.
Moyoni mwangu nashuhudiwa kwamba na uchaguzi ujao kitashinda kwa ushindi wa kishindo kwa sababu bado misingi yake haijavurugika, maadili ya chama yako tele, viongozi wanaojitambua, na wnachama mahili.
Nawashauri ndugu zanguni tuunge mkono chama chetu cha Mapinduzi. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!!

Natamani ningekua Mdunguaji!
 
vijana wa ufipa karibuni mmwage matusi kama kawaida yenu.

vijana wangu siyo kama wa lumumba,wako makini zaidi ya kawaida.

Mfano. Ben saanane ni sawa na kina mwig.ulu hmsini, au kina na.pe arobaini!
 
vijana wangu siyo kama wa lumumba,wako makini zaidi ya kawaida.

Mfano. Ben saanane ni sawa na kina mwig.ulu hmsini, au kina na.pe arobaini!

peleka gongo zako huko wewe,usituletee watembea na sumu hapa.. Kibaraka mkubwa yule ndio unatuletea humu. Tumia kichwa kufikiri acha uzuzu
 
Sina uhakika kama ni milele ila nina uhakika miaka 100 ijayo bado CCM itakuwepo madarakani.

nina uhakika kizazi cha mjukuu wangu kitaendelea kuwa chini ya utawala wa ccm. Hivi sasa bado sijaoa ntaoa mwakani
 
Back
Top Bottom