KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,770
- 39,537
sababu kubwa ni kwamba software inawafikia watu wengi zaidi.Wakuu nashindwa kuelewa utajiri wa Bill gates, Zuckerbarg, mmiliki wa google (android),.
Ukiwatizama matajiri hawa unakuta wamewashinda wamiliki wa makampuni makubwa hapa dunini ambayo bidhaa zao nyingi ni tangible na zinaonekana kwa wingi mtaani mfano Samsung, Toyota, Suzuki, Sony, Air bus, Boeing, wauzaji mafuta , total.
Makampuni haya ni dhahiri kabisa unaziona bidhaa zao mtaani tangu zamani lakini unashangaa eti anapitwa na mtu ambaye kadevelop window ambayo kuinstall kwenye komputa ni kama 20000 tu na baada ya huipo hulipii tenaa. Mfano facebook unakuta hata kwa mwezi hutumii hata MB 500 lakini unaambiwa jamaa ndiye tajiri kuliko mmiliki wa Air Bus. Ukiniambia suala la matangazo sidhani kama ni hoja kuu kwani nashangaa hata wamiliki blogs wanalipwa na google kwa yeye kuweka matangazo yakee.
Naombeni kujua vyanzo vya mapato ambayo Bill gates anauza na kupata ela ambayo inamzidi mmikili wa Sansung au Apple.company. Android OS ni bure lkn google eti anaela kushinda mmiliki wa HTC au LG, hapa nashindwa kuelewaa kabisaa.
Umefafanua vizuri sanasababu kubwa ni kwamba software inawafikia watu wengi zaidi.
chukulia mfano app za google na Htc 10.
-htc akiuza simu 1 inamfikia mtu mmoja analipa mara moja mumemalizana akiuza sana ni simu milioni 1 na kila simu dola 600 mwisho wa siku ana mapato dola milioni 600
-app ya google inakuja na simu ya android zinauzika simu kama bilioni moja kwa mwaka, nenda playstore utaona app za google nyingi zimedownloadiwa zaidi ya mara bilioni 1 akiwa na app 20 na akipata kila app dola 1 tu basi ana dola bilioni 20 kwa mwaka. ili apate dola 1 kwa mwaka anahitaji umuingizie shilingi 6 tu kwa siku, hivyo ukiclick tangazo moja akapata shilingi 20 ujue hapo tayari umempa hela nyngi sanaa.
kuhusu bill gate yule jamaa mapato yake si microsoft tu ana hisa hadi cocacola na makampuni kibao. zaidi ya nusu ya utajiri wa bill gates hautokani na microsoft soma zaidi hii kampuni yake ya uwekezaji
Cascade Investment - Wikipedia, the free encyclopedia
Suala ni kwamba, mwanzilishi/mmiliki wa Facebook, Mark Zukerberg, kuwa tajiri zaidi ya mmiliki/mwanzilishi wa Toyota haina maana kwamba Facebook ina thamani kubwa (au inaingiza pesa nyingi) zaidi ya Toyota.Wakuu nashindwa kuelewa utajiri wa Bill gates, Zuckerbarg, mmiliki wa google (android),.
Ukiwatizama matajiri hawa unakuta wamewashinda wamiliki wa makampuni makubwa hapa dunini ambayo bidhaa zao nyingi ni tangible na zinaonekana kwa wingi mtaani mfano Samsung, Toyota, Suzuki, Sony, Air bus, Boeing, wauzaji mafuta , total.
Makampuni haya ni dhahiri kabisa unaziona bidhaa zao mtaani tangu zamani lakini unashangaa eti anapitwa na mtu ambaye kadevelop window ambayo kuinstall kwenye komputa ni kama 20000 tu na baada ya huipo hulipii tenaa. Mfano facebook unakuta hata kwa mwezi hutumii hata MB 500 lakini unaambiwa jamaa ndiye tajiri kuliko mmiliki wa Air Bus. Ukiniambia suala la matangazo sidhani kama ni hoja kuu kwani nashangaa hata wamiliki blogs wanalipwa na google kwa yeye kuweka matangazo yakee.
Naombeni kujua vyanzo vya mapato ambayo Bill gates anauza na kupata ela ambayo inamzidi mmikili wa Sansung au Apple.company. Android OS ni bure lkn google eti anaela kushinda mmiliki wa HTC au LG, hapa nashindwa kuelewaa kabisaa.
Facebook ni softwareHata Facebook?
Alafu dukani wanatuambia ina "windows ya bure" daaah!!!ukinunua laptop au desktop unalipia windows japo we hujui, labda ununue laptop ya dos au ubuntu. makampuni kama Lenovo, dell, hp etc humlipa microsoft kama dola 40 hivi kwa kila computer ya windows wanayouza. na ikiwa na windows kama pro, ultimate au enterprise bei huongezeka