pesa inaingiaje?
mfano mimi naweka bando la jero, kuanzia vodacom, tcra mpaka marck zuck google na wengineo hio hela wanaichukuaje?
Revenue yao kwa upande mkubwa inatokana na matangazo. Unakuta anaeza pokea zaidi ya $ 1billion per quarter. Na hivo kupelekea value ya fb kuwa zaidi ya $100 billion.
Kuna ads zinaitwa targeting ads. Ziko based kwene information ulizoandika fb mfano unachopendelea kufanya, chakula n.k
Facebook ina spenders wakubwa kama;
- FORD
Hii kampuni inaamini kwamba mtu aki "like" kwene fb, inakuwa advocate wa iyo brand kwani watu wataona kwamba fulani ka"like" maybe gari jipya la ford.
-HSBC
hii ni bank na inatangazwa sana fb upande wa Asia na Europe
-ANHEUSER-BUSCH INBEV
mnamo mwaka 2010, Budweiser alotoa offer ya "bia za bure" kwa mtu yeyote aliekuwa anafikisha umri wa miaka 22
-MCDONALD'S
ina likes zaidi ya million 30 (survey data 2010)
-VISA
ilitumia pesa nyingi kujitangaza fb olympics 2012
Wengine ni pamoja na
-NIKE
-JPMORGAN CHASE
-STARBUCKS
-DISNEY
-DELL
-SAMSUNG
-NESTLE
-UNILEVER
-VERIZON
-GOOGLE
-WAL-MART
-GROUPON
-AMERICAN EXPRESS
-AT&T
-ELECTRONIC ARTS
-ZYNGA
HIZO KAMPUNI ZINALIPIA NN?
Japokuwa fb inakaribisha advertisers wa size yeyote, wote wako after the same thing, "likes and shares"
Gharama ya matangazo inarange kuanzia 5 cents to 5 dollars per click. ( yaani mtu anapo"like au kushare")
Gharama hupanda depending on targeting, bids na engagement
Sidebar ads
-ndo most common adds fb. cost yake ni about $1-$5
Sponsored stories
-hizi ni status updates za makampuni ambazo hugeuzwa kuwa ads. Cost yake ni 50cents per click
Promoted posts
Posts zilizowatajet fans and friends of fans. Cost ni $5 per every 1000 people targeted.
Source:
http://money.msn.com
Http://readwrite.com
Http://www.businessinsider.com
Http://ppbh.com
Http://www.techvibes.com
Http://www.marketwatch.com
And business-management-degree.net