Nashindwa ku save file tatizo ni nini

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Wadau naomba kusaidiwabkstika hili, ninatumia tecno c9 kabla ya hapo nilikuwa natumia tecno f7 ambayo nilikuwa nikiitumia kuhamisha files toka kwenye pc na au kuingiza toka kwrnye simu, lkn toka nilipoanza kutumia hii c9 ni shida kila nikijaribu kusave naletewa ujumbe huu naombeni wajuzi mnisaidie nimekuwa boared sana jamani.
 
Bado ninawasubiri jamani wenye ujuzi naomba maujanja
 
picha ya kwanza bonyeza yes itacopy, picha ya pili hilo file ni read only kwa lugha nyengine unaweza kulisoma tu ila huwezi kuliandika umepewa ushauri hapo nenda save as halafu chagua jina jengine then save kwenda mahala pengine halafu lifungue huko kwengine uone.

pia kutoa read only right click file husika utaona kuna sehemu imeandikwa read only kama kuna tick litoe halafu apply then fungua tena.
 
Nashukuru kws ushauri wako lkn tatizo ni kwamba kukopi inakopi lkn siwezi kuedit file na kulisave kwenye simu, vinginevyo naweza kuliedit kwenye pc tu ikilipeleka kwenye simu siwezi lifanyia chochote zaidi ya kulisoma tu, hapo mwanzo nilikuwa nikifanyia kazi kwenye simu nakwenda kusave kwenye pc.
 
download microsoft word utaweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…