sibbonnobo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 724
- 877
Amin nakuambia, hutakuwa na kikwazo cha kuingia mbinguni. Endelea kuwa hivyo.Hello wakuu, hope mko poa.
Nimeamua ku share nanyi hii ishu kwa kutumia ID hii tofauti isiyofahamika na pia kwa sababu ni kitu ambacho nimeshindwa ku share kabisa na washikaji na marafiki zangu, kwani nahisi watanicheka sana.
Iko hivi, niko kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 8 sasa, nimekua sipati kabisa stimu za kumcheat mke wangu, yaani mimi na wale wanaume ambao ni wa mwanamke mmoja tuu...!!
Hata kabla sijamuoa mke wangu, nili date na wanawake wanne, na kati ya hao hakuna ambae nimewahi kumcheat hata mara moja. Yaani nikishakua na mahusiano na mwanamke mmoja nakua sina stimu kabisa za kugonga nje, hata iweje. Kazi zangu ni za kusafiri sana, lakini hata nikisafiri yaani kuchukua mwanamke kwenda kumgonga naona jau sana, na siwezi kabisa. Niliwahi kufosi nikabeba demu fulani, lakini sikua comfortable kabisa na hata mboo ilishindwa kusimama pamoja na yule mwanamke kuhangaika sana. Kiufupi mimi sijawahi kucheat kabisa, na huwa nashangaa sana washikaji wakiwa wanapiga story zao za kugonga nje, kwangu mimi wala sio kitu kinachonipa stimu kabisa, na huwa nabaki kushangaa tu ila siwezi kuwaambia washikaji maana naona watanicheka sana.
Huwa mara nyingi nikiwa na washikaji najifanya na mimi napiga story za kucheat as if na mimi nagonga sana nje, ila ni uongo mtupu. Sasa nawauliza wakuu, je hii ni kawaida? Kuna wanaume wenzangu humu ndani mpo kama hivi au mimi nipo abnormal?
Huwa nikisikia washikaji na wanawake wanasema hakuna mwanaume asiecheat najiona abnormal sana kwa kweli na inanisumbua.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app