Revola
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 1,542
- 1,364
Kichwa chajieleza, wadau mwenye housing hiyo tajwa hapo juu nashida nayo sn, nisimu ya zamani sana ila inaumuhimu sn kwangu ndio maana nahitaji housing hiyo. Nimeshatembea sn kuitafuta bila mafanikio, nimekwenda kariakoo na kwamafundi simu ila sijapata.
Naomba kusaidiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kusaidiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
