Kuna mzee mmoja anaongea mambo ya maana tena mbele ya Rais.
Wakati nchi ya Singapore ilipohitaji kujiimarisha kiuchumi Rais Lee Kuan Yew alimfuata jamaa mmoja aliyekuwa ni muhasibu akamuomba aje awe Waziri wa Fedha alisaidie taifa lake. Jamaa akaacha mshahara mkubwa akaja serikalini akilipywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.