Nashauri vijana watoro mashuleni wasibuguziwe

Nashauri vijana watoro mashuleni wasibuguziwe

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,385
Reaction score
2,587
Watanzania tuamke na tuachane na ile dhana kwamba Elimu ni ufunguo! Wengi wetu tumepotoka kwa kukariri na kubaki kuwanyoshea vidole watoto wanao tega kwenye masomo. Zama zimebadilika! tuko katika nyakati ambazo yale yote tulizani ni kweli sio kweli tena mifumo yetu yote ya kijamii, kiuchumi ipo kudondoshwa na kuja mifumo mipya kabisa.

Huenda hawa vijana tunaowaona watoro wamehisi jambo ambalo linakuja mbeleni. Hivyo hamna haja ya kusoma wakati hamna sehemu yoyote watakayotumia hiyo elimu ya kale katika nyakati mpya.

Ukiachilia ukosefu wa ajira kwa wasomi wetu bado elimu inayotolewa huko mashuleni na vyuoni imepitwa na wakati kabisa. Hivyo haina maana kusoma.

Zama hizi hakika ni za ajabu sana, kazi za maana kama udaktari, uhandishi zimekuwa kituko mbele ya fani mpya za influencer huko kwenye majukwaa ya instagram na tiktok katika kutengeneza pesa. Na hapa ni mwanzo tuu hayo ya mbeleni mbona wasomaji wataisoma Number.
 
Unazani waliopo katika nafas za ajira.wataishi milele!. Unajifikiria wewe tu au unafikiria taifa?. Watu wanakula,wanazeeka na kustaafu!... Acha madogo wasome
 
Kuna degree holders kibao za education za tangu 2014 ziko mtaani km zingejikita kwny mengine saiz ukute zingekua mbali
 
UNASOMA HD PHD UNAKUJA KUAJIRIWA NA LA SABA NANI MSOMI HAPO
We ni debe tupu futa kwanza ujinga, elimu haipimwi Kwa wingi wapesa bali huduma za kitaalamu Kwa jamii.

Ingekua pesa ni Kila kitu Kwann usiajiri lasaba wenzio?

Elimu ni ujuzi na msaada Kwa jamii Jua hili
 
Kuna degree holders kibao za education za tangu 2014 ziko mtaani km zingejikita kwny mengine saiz ukute zingekua mbali
Kwamfano akipata kazi inachukia miaka miwili tu kukupita wewe uloanza kufanya kazi Kwa miaka 10+ Tena anakuacha Kwa mbali sana hivo elimu ni msingi isiooza
 
Kwamfano akipata kazi inachukia miaka miwili tu kukupita wewe uloanza kufanya kazi Kwa miaka 10+ Tena anakuacha Kwa mbali sana hivo elimu ni msingi isiooza
Never biashara ni bora sana kwangu mm elimu bora ni ya kuweza kurudisha chenji,kuagiza order na kuuza vitu elimu ya mbunge msukuma ilinitosha kbs
 
Watanzania tuamke na tuachane na ile dhana kwamba Elimu ni ufunguo! Wengi wetu tumepotoka kwa kukariri na kubaki kuwanyoshea vidole watoto wanao tega kwenye masomo. Zama zimebadilika! tuko katika nyakati ambazo yale yote tulizani ni kweli sio kweli tena mifumo yetu yote ya kijamii, kiuchumi ipo kudondoshwa na kuja mifumo mipya kabisa.

Huenda hawa vijana tunaowaona watoro wamehisi jambo ambalo linakuja mbeleni. Hivyo hamna haja ya kusoma wakati hamna sehemu yoyote watakayotumia hiyo elimu ya kale katika nyakati mpya.

Ukiachilia ukosefu wa ajira kwa wasomi wetu bado elimu inayotolewa huko mashuleni na vyuoni imepitwa na wakati kabisa. Hivyo haina maana kusoma.

Zama hizi hakika ni za ajabu sana, kazi za maana kama udaktari, uhandishi zimekuwa kituko mbele ya fani mpya za influencer huko kwenye majukwaa ya instagram na tiktok katika kutengeneza pesa. Na hapa ni mwanzo tuu hayo ya mbeleni mbona wasomaji wataisoma Number.
Inategemeana mkuu, kama Anatoroka afu anakuwa kwenye mishe Mishe hapo sawa. Ila kama naingia gola kula skanka hii hapana
 
Ila hata mm nlikuwa mtoro 😄
Enzi zetu tulikuwa tunaitwa wazee wa umabo

Ova
 
Mtoto anatumwa na mwalimu akakamate Dragonfly kwenye madimbwi eti kwa ajili ya experiment

Sijui itamsaidia nini maishani
Ndio maana hawarudi Shule
Akikosa anapigwa
Kwanini shule zenu wasizibadilishe ziwe ZOO tu mfuge
 
Ni laana kwa taifa kuwa na watu kama mleta uzi wanaoona elimu haina maana. Kama watoro wangekuwa na maana wangeajiriwa na vilaza wenzao waliobahatika kupata hela. Ila hata kina msukuma hawawezi ajiri darasa la 7 kwenye nafasi za kitaamu kwenye kampuni yao. ELIMU HAIFANANISHWI NA CHOCHOTE HADI NINAVYOANDIKA HAPA.
 
Watanzania tuamke na tuachane na ile dhana kwamba Elimu ni ufunguo! Wengi wetu tumepotoka kwa kukariri na kubaki kuwanyoshea vidole watoto wanao tega kwenye masomo. Zama zimebadilika! tuko katika nyakati ambazo yale yote tulizani ni kweli sio kweli tena mifumo yetu yote ya kijamii, kiuchumi ipo kudondoshwa na kuja mifumo mipya kabisa.

Huenda hawa vijana tunaowaona watoro wamehisi jambo ambalo linakuja mbeleni. Hivyo hamna haja ya kusoma wakati hamna sehemu yoyote watakayotumia hiyo elimu ya kale katika nyakati mpya.

Ukiachilia ukosefu wa ajira kwa wasomi wetu bado elimu inayotolewa huko mashuleni na vyuoni imepitwa na wakati kabisa. Hivyo haina maana kusoma.

Zama hizi hakika ni za ajabu sana, kazi za maana kama udaktari, uhandishi zimekuwa kituko mbele ya fani mpya za influencer huko kwenye majukwaa ya instagram na tiktok katika kutengeneza pesa. Na hapa ni mwanzo tuu hayo ya mbeleni mbona wasomaji wataisoma Number.
Wasiachwe bali wapewe nafasi wajieleze sababu ya kukataa shule
Mengine yatafuata
 
UNASOMA HD PHD UNAKUJA KUAJIRIWA NA LA SABA NANI MSOMI HAPO
Elimu na pesa ni vitu viwili tofauti. Ukiilinganisha elimu na pesa huwezi kupata maana hata siku moja
Ni sawa na kusema ili uwe tajir lazima uwe na akili nyingi! Je ni kweli kila tapir ana akili kuliko masikini??
 
Ni laana kwa taifa kuwa na watu kama mleta uzi wanaoona elimu haina maana. Kama watoro wangekuwa na maana wangeajiriwa na vilaza wenzao waliobahatika kupata hela. Ila hata kina msukuma hawawezi ajiri darasa la 7 kwenye nafasi za kitaamu kwenye kampuni yao. ELIMU HAIFANANISHWI NA CHOCHOTE HADI NINAVYOANDIKA HAPA.
Education is the transmission of knowledge, skills, values and experience from one generation to another.
Hoja ya mleta Uzi ni kwamba elimu ya sasahivi iko outdated haikidhi mahitaji ya msomaji tunaenda shule kukaririshwa vitu ambavyo vipo kwenye maandishi ya muda mrefu. Hivyo mleta Uzi hapingi elimu kwa ujumla Bali analenga kuonesha elimu ya sasahivi Haipo applicable kabisa, kwanza kila level mwanafunzi anasoma kitu tofauti.

Education for self reliance ilikuwa Bora sana na muhimu Kama ingeendelezwa.
Achana na hii colonial education inawaanda wasomi kuwa wajinga tu na wavivu wa baadhi ya mambo just imagine mtu anawasoma key agents of colonialism ambao ni
1. Explorers
2.Missionaries
3.Traders
Ili aweze kujibia mtihani lakini ukija kwenye uhalisia hao Wana mchango Gani Sasa.
Education for self reliance ndo elimu Bora ambayo itameet the needs_
 
Education is the transmission of knowledge, skills, values and experience from one generation to another.
Hoja ya mleta Uzi ni kwamba elimu ya sasahivi iko outdated haikidhi mahitaji ya msomaji tunaenda shule kukaririshwa vitu ambavyo vipo kwenye maandishi ya muda mrefu. Hivyo mleta Uzi hapingi elimu kwa ujumla Bali analenga kuonesha elimu ya sasahivi Haipo applicable kabisa, kwanza kila level mwanafunzi anasoma kitu tofauti.

Education for self reliance ilikuwa Bora sana na muhimu Kama ingeendelezwa.
Achana na hii colonial education inawaanda wasomi kuwa wajinga tu na wavivu wa baadhi ya mambo just imagine mtu anawasoma key agents of colonialism ambao ni
1. Explorers
2.Missionaries
3.Traders
Ili aweze kujibia mtihani lakini ukija kwenye uhalisia hao Wana mchango Gani Sasa.
Education for self reliance ndo elimu Bora ambayo itameet the needs_
Nimeamua kwa niaba ya taifa nikudharau mno.
 
Back
Top Bottom