kilalile
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 1,595
- 2,205
Watanzania wenzangu, ni ukweli usiopingika kuwa si kila aliye na sifa ya kujiunga na chuo kikuu pia ana sifa ya kupatiwa mkopo wa elimu ya juu.
Tukumbuke hizi ni taasisi mbili tofauti. TCU imeshafanya kazi yake ya kuwapangia wanachuo kwenye vyuo.
HESLB imeshafanya kazi yake ya kutoa mikopo kwa wale wenye vigezo vilivyoelekezwa.
Sasa basi, wenye uhitaji wa mikopo hiyo ni wengi, wengine wamejitokeza kwenye media wakiomba msaada, tumewaona. Wengine wameamua kurudi makwao, tunafahamu. Wengine wameshindwa hata kuripoti vyuoni.
Wazo ni kuwasaidia vijana wetu, tufungue akaunti kuwachangia kama kweli tunaguswa na kile kinachowakuta kwasasa.
Wazo likipita, taratibu za kuratibu zoezi zitaanza.
Nawasilisha.
Tukumbuke hizi ni taasisi mbili tofauti. TCU imeshafanya kazi yake ya kuwapangia wanachuo kwenye vyuo.
HESLB imeshafanya kazi yake ya kutoa mikopo kwa wale wenye vigezo vilivyoelekezwa.
Sasa basi, wenye uhitaji wa mikopo hiyo ni wengi, wengine wamejitokeza kwenye media wakiomba msaada, tumewaona. Wengine wameamua kurudi makwao, tunafahamu. Wengine wameshindwa hata kuripoti vyuoni.
Wazo ni kuwasaidia vijana wetu, tufungue akaunti kuwachangia kama kweli tunaguswa na kile kinachowakuta kwasasa.
Wazo likipita, taratibu za kuratibu zoezi zitaanza.
Nawasilisha.