ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,711
- 5,641
Mwezi ujao Ligi inaisha na hakuna lolote linaloendelea Kwa mechi iliyogomewa na kuhairishwa Kwa wakati mmoja, naongelea mechi ya Simba na Yanga.
Kwakuwa May 25/2025 Ligi inaisha , basi kutatua mgogoro huu TFF watoe Suluhu katika mechi hiyo, ikiwa yanga apewe point moja bila goli na Simba apewe point moja bila goli, the Ligi iishe.
Mana tutaenda Afcon ama Ligi itaisha ila mgogoro haujaisha, wape Hali sawa ya point 1 Kwa point 1
Kwakuwa May 25/2025 Ligi inaisha , basi kutatua mgogoro huu TFF watoe Suluhu katika mechi hiyo, ikiwa yanga apewe point moja bila goli na Simba apewe point moja bila goli, the Ligi iishe.
Mana tutaenda Afcon ama Ligi itaisha ila mgogoro haujaisha, wape Hali sawa ya point 1 Kwa point 1