donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
Salam wakuu,
Strait to the point, Leo nilikua natoka Chamwino Ikulu naelekea chalinze nyama, kuna sehemu kuna kibao Cha 50, japo nlikua nipo race nilipofika sehemu hiyo nikaanza kuendesha kwa Kama 30kph hivi. Ghafla nashangaa mbele nasimamishwa then jamaa Kama wanne wakaja wamenizunguka.
Wakaomba DL yangu nikawapatia, wakauliza kadi ya gari nikawapa, wakagua insurance iko Safi. Wameona everything is okay wakaanza kunisingizia I was speeding wakataka kuniandikia tiketi.
Nikabishana nao kama dakika 5 Ila mmoja wao akawa anasema bro jiongeze usichelewe uendako. Nikaona sio kesi nikawa nafungua glove compartment niwaachie hata buku 5 ya maji, Kuna mwenzao aliona kitu Fulani kilichoni+identify kama msela hivi, akarudi nyuma kisha akawaita wale wenzake wakaanza kunong'onezana then yule senior wao akaja akaanza kuapologise kwa samahani nyingi nikamwambia wasijali wakaniruhusu nikasepa. What I'm tryna say is:
Kama nchi za wenzetu zilizoendelea, Hawa Askari wa barabarani wakifungwa BodyCams itasaidia sana kupunguza mistreatment na kuziba mianya ya rushwa. Mfungo mwema, Ijumaa Kareem.
Strait to the point, Leo nilikua natoka Chamwino Ikulu naelekea chalinze nyama, kuna sehemu kuna kibao Cha 50, japo nlikua nipo race nilipofika sehemu hiyo nikaanza kuendesha kwa Kama 30kph hivi. Ghafla nashangaa mbele nasimamishwa then jamaa Kama wanne wakaja wamenizunguka.
Wakaomba DL yangu nikawapatia, wakauliza kadi ya gari nikawapa, wakagua insurance iko Safi. Wameona everything is okay wakaanza kunisingizia I was speeding wakataka kuniandikia tiketi.
Nikabishana nao kama dakika 5 Ila mmoja wao akawa anasema bro jiongeze usichelewe uendako. Nikaona sio kesi nikawa nafungua glove compartment niwaachie hata buku 5 ya maji, Kuna mwenzao aliona kitu Fulani kilichoni+identify kama msela hivi, akarudi nyuma kisha akawaita wale wenzake wakaanza kunong'onezana then yule senior wao akaja akaanza kuapologise kwa samahani nyingi nikamwambia wasijali wakaniruhusu nikasepa. What I'm tryna say is:
Kama nchi za wenzetu zilizoendelea, Hawa Askari wa barabarani wakifungwa BodyCams itasaidia sana kupunguza mistreatment na kuziba mianya ya rushwa. Mfungo mwema, Ijumaa Kareem.