HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
Kama kweli serikali inataka kutenda haki ktk ukusanyaji kodi kwa wananchi wake basi ni vyema makanisa na misikiti iwaanze kutoa EFD receipt kwa sadaka ghafi kwaajili ya kulioa kodi.
Nasema hivyo kwa kuwa viongozi wadini wanaitetea serikali badala ya kuttea wananchi kwakuwa wamepewa rushwa tayari ya kutolipa kodi kwenye sadaka na mali wanazoingiza nchini kwa jina la taasisi zao.
Tumeshuhudia kina Mwamposa, Geo Davie, nk wakiishi maisha ya kifahari kwa kuwa hawalipi kodi badala yake wananchi ndiyo wanakandamizwa kulipa kodi kubwa.
Tunajua kuwa kodi wanalipa kwenye baadhi ya miradi yao ya biashara kama nyumba za kupangisha,hostel,nk lakini haitoshi kwani ni kidogo sana hivyo kuwafanya waishi maisha ya anasa.
Nasema hivyo kwa kuwa viongozi wadini wanaitetea serikali badala ya kuttea wananchi kwakuwa wamepewa rushwa tayari ya kutolipa kodi kwenye sadaka na mali wanazoingiza nchini kwa jina la taasisi zao.
Tumeshuhudia kina Mwamposa, Geo Davie, nk wakiishi maisha ya kifahari kwa kuwa hawalipi kodi badala yake wananchi ndiyo wanakandamizwa kulipa kodi kubwa.
Tunajua kuwa kodi wanalipa kwenye baadhi ya miradi yao ya biashara kama nyumba za kupangisha,hostel,nk lakini haitoshi kwani ni kidogo sana hivyo kuwafanya waishi maisha ya anasa.