Nashauri CCM ipate wagombea kama ilivyokuwa 2020

Nashauri CCM ipate wagombea kama ilivyokuwa 2020

KIBINDU

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2015
Posts
224
Reaction score
429
Wagombea kwa nafasi za ubunge na udiwani mchujo wake usizingatie nafasi ya kwanza kwenye kura za wajumbe.

Kwenye udiwani tafuteni watu kama viongozi wa kiroho, watendaji, wakuu wa shule na watu mashuhuri watawapatia wagombea sahihi.

Ubunge pia iwe hivyo hivyo.

Hata mgombea mwenye kura chache za wajumbe bado atakuwa na nafasi ya kuteuliwa na chama.
 
No reform no election.
FB_IMG_1751189270276.jpg
FB_IMG_1751189276842.jpg
 
Wagombea kwa nafasi za ubunge na udiwani mchujo wake usizingatie nafasi ya kwanza kwenye kura za wajumbe.

Kwenye udiwani tafuteni watu kama viongozi wa kiroho, watendaji, wakuu wa shule na watu mashuhuri watawapatia wagombea sahihi.

Ubunge pia iwe hivyo hivyo.

Hata mgombea mwenye kura chache za wajumbe bado atakuwa na nafasi ya kuteuliwa na chama.
Hii itafanya tuingia uchumi wa kati? Taifa lina wajinga sana hili,
 
Back
Top Bottom