ha haa umeua mkuuHuyo ambaye ni mwanaume ahamie barca na avunje record ya Messi
Ahamie wapi?Mwisho wa kunukuuView attachment 1283851
Huyu Jamaa angecheza Barça record yake isingevunjwa miaka 100Huyo ambaye ni mwanaume ahamie barca na avunje record ya Messi
Barca ndo inambeba messi,mbona kwenye team ya taifa anafanyaga utumbo tu hana lolote,atoke hapo aende kilabu kingine tuoneHoja imevaa yebo hii,
unahisi Barcelona imembeba messi au messi ndo.ameibeba barca?
unaanzaje kum-doubt mtu anaeibeba club kubwa ulimwenguni?
Jamaa anajua wapi pa kuhamia ili afaidi...Mtu anaenda Juve ambayo miaka inachukua ligi mfululizo, unategemea asichukue kombe. Angeenda Sassuolo.
Kabla ya Messi Barcelona haikuwa nzuri chini ya akina Ronaldinho na Eto'o hadi walibeba vikombe ambavyo ni marudio kwa Messi? Mahaba yanawatesa sana mashabiki wa BebwalonaHoja imevaa yebo hii,
unahisi Barcelona imembeba messi au messi ndo.ameibeba barca?
unaanzaje kum-doubt mtu anaeibeba club kubwa ulimwenguni?