Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha haa umeua mkuuHuyo ambaye ni mwanaume ahamie barca na avunje record ya Messi
Ahamie wapi?Mwisho wa kunukuuView attachment 1283851
Huyu Jamaa angecheza Barça record yake isingevunjwa miaka 100Huyo ambaye ni mwanaume ahamie barca na avunje record ya Messi
Barca ndo inambeba messi,mbona kwenye team ya taifa anafanyaga utumbo tu hana lolote,atoke hapo aende kilabu kingine tuoneHoja imevaa yebo hii,
unahisi Barcelona imembeba messi au messi ndo.ameibeba barca?
unaanzaje kum-doubt mtu anaeibeba club kubwa ulimwenguni?
Jamaa anajua wapi pa kuhamia ili afaidi... si angeenda Cagliari tuone huo uwezo wa kunyanyua timu. Kaenda Juve ambayo bila yeye ilonyanyua makombe kama kawaida. Na sasa yupo, hamna kombe la tofauti alilowapa.Mtu anaenda Juve ambayo miaka inachukua ligi mfululizo, unategemea asichukue kombe. Angeenda Sassuolo.
Kabla ya Messi Barcelona haikuwa nzuri chini ya akina Ronaldinho na Eto'o hadi walibeba vikombe ambavyo ni marudio kwa Messi? Mahaba yanawatesa sana mashabiki wa BebwalonaHoja imevaa yebo hii,
unahisi Barcelona imembeba messi au messi ndo.ameibeba barca?
unaanzaje kum-doubt mtu anaeibeba club kubwa ulimwenguni?