Nasema siwezi kuacha kuchepuka

Kaputula La Marx

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
562
Reaction score
500
Awali ya yote natumai mu wazima.

Nimekuwa nikujiuliza kwanini watu hulalamikia maswala ya michepuko wakati nikiangalia kwa jicho la pili ni kwamba idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume.

Mfano Sensa ya mwaka 2012 jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' idadi ya waliojiandikisha kupiga kura 2015 jinsia ke ni wengi kuliko mimi.

Idadi ya watu duniani inaonyesha jinsia 'ke' ni wengi kuliko 'me' sasa akinadada mnapolia kwamba tunamichepuko sidhani kama ni haki hebu fikiri 'me' mmoja mke mmoja hao wanawake wanobaki wangepata wapi huduma yao ya msingi?

Hivyo basi kwangu mimi michepuko is inevitable.

Karibuni nanyi mchangie mawazo yenu juu ya hili.
 
Unamaliza mbegu zako bure, vinyama haviishi duniani
 
Hoja ingalikuwa ni uwingi au uchache wakinadad wasingalichepuka, kila mwanaume anapochepuka anachepuka na dada
 
Kumbe ni huduma ya msingi?
 
Unachokiacha na kile unachokifuata vyote ladha ni moja.. HESHIMU THAMANI NA HISIA ZA ULIYENAE.
Tatizo ni kwamba kila mwanaume mmoja akiwa na mke mmoja hawa wanaozidi watapata wapi huduma sitahiki ya ndoa
 
Pole sana mzee, Unajikomoa mwenyewe tu na kujitakia yasiotakikana.
Laiti ungalitambua na kufahamu.
 
Tupe na ratio ya wanawake wa wanaume! Usiishie kusema tu wanawake ni wengi
 
Siku utapogundua thamani na baraka zilizo ktk ndoa yako!!!!! Ni wazi utakuwa umechelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…