Nasema kwaheri CHADEMA iwapo....

Nasema kwaheri CHADEMA iwapo....

Wana JF, Mimi ni miongoni mwa vijana wengi ambao tunasubiri kwa hamu mustakabali wa siku 14 za maamuzi ya Kamati kuu ya CHADEMA kuhusiana na issue ya ZZK na wenzake.Siko peke yangu, tupo wengi. Siko tayari kuendelea kuwa mwanachama wa CDM iwapo Zitto atasamehewa na kuachiwa uanachama kwasbabu kuu 31. Alishindwa kututumikia katika nafasi ya Unaibu Katibu Mkuu wa Chama (Miezi 7 haingii Ofisini), eti kiongozi, kiongozi wa nani?2. CCM wanasikitika sana Zitto kusimamishwa uongozi, hii nalo ni janga, na nia ajabu. Karibu CCM wengi wanamtetea, kuna nini?3. Dharau;- Kabla hata ya siku 14 kuisha, anakimbilia kwa wanahabari huku akipata sapoti ya CCM, duu. Kali zaidi ni alipoenda redioni, ka. Yaani anaidharau Kamati kuu, kwanini asingekaa kimya.Najua inawezekana kukawa na sababu nyingi tu, ila kwa mimi NASEMA;- Kwa heri CDM iwapo Zitto ataendelea kuwa mwanachama wa CDM.

Na mimi naunga mkono hoja hata kama kuna kupasuka kwa chama acha kipasuke tutakijenga tena kwa muda mfupi tu ZZK atoke tena mapema
 
Ulanzi ukiunywa wakati wa jua kali lazima ukutoe barabarani...
Tafadhali tunaomba vielelezo vya mchango wa rambirambi.

Tunaomba uchanganue kwa majina ya wachangiaji na kiasi walichochangia kisha utuwekee jumla kwa Paundi.

Tunaomba pia uweke exchange rate na namna ulivyotuma na kama kulikuwa na makato.

Propaganda uliyoanzisha dhidi ya Msigwa imerudi kwako. Mjengwa na Msigwa wametoa vielelezo vyao.

Usipoweka vielelezo utakuwa umejichafua mwenyewe kwa propaganda za kitoto.
 
Mini ninachoona chama kinaongozwa kwa falsafa ya imani.. Yaani watufulani wakiongea, wafuasi hupokea hivo hivo bila kufikiri. Mathalani. Mkumbo alihongwa laki 2 kusaliti Chama, zitto amehongwa na ni mamluki wa ccm. Yote haya hayana ushahidi ni mambo ya kudhania

Umesema Yote Mkuu....sina la kuongeza.
 
Wana JF, Mimi ni miongoni mwa vijana wengi ambao tunasubiri kwa hamu mustakabali wa siku 14 za maamuzi ya Kamati kuu ya CHADEMA kuhusiana na issue ya ZZK na wenzake.Siko peke yangu, tupo wengi. Siko tayari kuendelea kuwa mwanachama wa CDM iwapo Zitto atasamehewa na kuachiwa uanachama kwasbabu kuu 31. Alishindwa kututumikia katika nafasi ya Unaibu Katibu Mkuu wa Chama (Miezi 7 haingii Ofisini), eti kiongozi, kiongozi wa nani?2. CCM wanasikitika sana Zitto kusimamishwa uongozi, hii nalo ni janga, na nia ajabu. Karibu CCM wengi wanamtetea, kuna nini?3. Dharau;- Kabla hata ya siku 14 kuisha, anakimbilia kwa wanahabari huku akipata sapoti ya CCM, duu. Kali zaidi ni alipoenda redioni, ka. Yaani anaidharau Kamati kuu, kwanini asingekaa kimya.Najua inawezekana kukawa na sababu nyingi tu, ila kwa mimi NASEMA;- Kwa heri CDM iwapo Zitto ataendelea kuwa mwanachama wa CDM.
sababu yako ya kwanza "Ni vigumu kuamini, lakini ni kweli kuwa sikuwa na ofisi Makao Makuu, sikupewa vitendea kazi kama magari, vipaza sauti na/au vyombo vya habari, na sikuwahi kupata taarifa yoyote ya kiutendaji toka Makao Makuu" Chacha Wangwe
 
Na mimi naunga mkono hoja hata kama kuna kupasuka kwa chama acha kipasuke tutakijenga tena kwa muda mfupi tu ZZK atoke tena mapema

we una mchango gani chadema...kubaki kwako ama kuondoka kwako hakuna athari
 
Back
Top Bottom