Naunga mkono hoja....Zitto ni mtu mbaya sijapata ona....Ni zaidi ya mnyama....
mwambie nduguyo Ben akupe sumu unywe ujifie kwan nani anakutaka kwanza hata demu wako hakupendiYaani nina hasira :frusty:
HOJA ZA CHUKI DHIDI YA WATU WA KASKAZINI, WACHAGA, NA SUALA LA DINI HAVITAMWACHA ZITTO WALA CCM IMARA KISIASA!... PIGENI DEBE SAANA ILI UDINI, UKANDA NA UKABILA UJENGEKE!... ZITTO aKIHAMIA CHAUMMA "UKIGOMA" NA UDINI WA CHAMA HIKI UTAONEKANA... AKIHAMIA CCM NI HIVYO HIVYO!... DHAMBI HII HAIACHI MTU!... CHAUMMA BAADA YA KUANZISHWA NA ZITTO SASA AMEMUWEKA MUHA MWENZIE NA MTU WA DINI YAKE HASHIM RUNGWE KUWA MWENYEKITI...Haya Kachukue malipo kwa babu Slaa.
Mchange Kigoma umemaliza kuandaa vurugu?Tuko singida, tamko la mwenyekiti wa mkoa wakati anabwaga manyanga
Hapo umechemka!.... Dovutwa hajulikani ni MDINI au Mpinzani - msaliti. Mwaka 2010 aliomba asipopigiwa kura basi apewe JK... Ikifika hapo heri niwe na zitto ninayeweza kumdhibiti kuliko mnafiki kama DOVUTWA.Siwezi kukitumikia chama ambacho kinaamua kumkumbatia baradhuri na mzandiki kama Zitto, Heri nikajiunge na chama cha bwana Dovutwa,
yaaani kama ulikuwa kichwani mwangu , hizo sababu ulizo ziainisha na mimi ndiyo zinazonitesa sana , ni sawa na baba amekuzaa na bado kakusomesha lakini ana mpango wa kukuangamiza kwa kifo , je utafanyaje ? utaacha akuue kwa kuwa ni baba ? kuna watakao afiki ufe na wengine usife na wengi watasema si kweli, hawezi unamtungia baba yako uongo, lakini kwa matendo ya baba baadaye wataamini huyu mzee anadhamira mbaya na ndiyo maana alitaka kumuua mwanaye . kwa wana chadema wote ni lazima tuchague kifo na uhai kipi bora , namkubali sana ZZK lakini kwa hili NO THANK YOUWana JF, Mimi ni miongoni mwa vijana wengi ambao tunasubiri kwa hamu mustakabali wa siku 14 za maamuzi ya Kamati kuu ya CHADEMA kuhusiana na issue ya ZZK na wenzake.Siko peke yangu, tupo wengi. Siko tayari kuendelea kuwa mwanachama wa CDM iwapo Zitto atasamehewa na kuachiwa uanachama kwasbabu kuu 31. Alishindwa kututumikia katika nafasi ya Unaibu Katibu Mkuu wa Chama (Miezi 7 haingii Ofisini), eti kiongozi, kiongozi wa nani?2. CCM wanasikitika sana Zitto kusimamishwa uongozi, hii nalo ni janga, na nia ajabu. Karibu CCM wengi wanamtetea, kuna nini?3. Dharau;- Kabla hata ya siku 14 kuisha, anakimbilia kwa wanahabari huku akipata sapoti ya CCM, duu. Kali zaidi ni alipoenda redioni, ka. Yaani anaidharau Kamati kuu, kwanini asingekaa kimya.Najua inawezekana kukawa na sababu nyingi tu, ila kwa mimi NASEMA;- Kwa heri CDM iwapo Zitto ataendelea kuwa mwanachama wa CDM.
Tangu ujiunge hapa juzi umekuwa unakunyakunya tu kama bata bila kwenda msalani(chooni). anyway, utakapolizoea jamvi utastaarabikaHaya Kachukue malipo kwa babu Slaa.
Zito Ni Zaidi Ya Cdm..! Chm Wameshalikoroga Na Wako Chini Ya Ulinzi Wa Mmakonde Kwa Maana Wamfukuze Uanachama NCHALE Wamuachie Uanachama NCHALE.. SO Watafute Njia Za Kuuzima Huu Moto Waliouanzisha Kwa Tamaa Ya Madaraka... Inashangaza Mtu Kama Tundu Anamnanga Zito Wakati Hata Miaka Mitatu Chamani Hana Ni Ajabu Aisee Njaa Mbaya Sana...
Haturudi nyuma tunasonga mbele, chukueni kimeo chenu...Weak thread maneno meng hujayapangilia warudiarudiabmaneno agriiiii buuuuuuuuuuiu,pelekea Bavicha wenzako wakusaidie kuedit na kupangilia maneno vizuri,Bavicha mnapenda umaarufu hamna shule vichwan.....
Cc. Mnyika
Cc.Mbowe
Cc.Lema
Weak thread maneno meng hujayapangilia warudiarudiabmaneno agriiiii buuuuuuuuuuiu,pelekea Bavicha wenzako wakusaidie kuedit na kupangilia maneno vizuri,Bavicha mnapenda umaarufu hamna shule vichwan.....
Cc. Mnyika
Cc.Mbowe
Cc.Lema
Wana JF, Mimi ni miongoni mwa vijana wengi ambao tunasubiri kwa hamu mustakabali wa siku 14 za maamuzi ya Kamati kuu ya CHADEMA kuhusiana na issue ya ZZK na wenzake.Siko peke yangu, tupo wengi. Siko tayari kuendelea kuwa mwanachama wa CDM iwapo Zitto atasamehewa na kuachiwa uanachama kwasbabu kuu 31. Alishindwa kututumikia katika nafasi ya Unaibu Katibu Mkuu wa Chama (Miezi 7 haingii Ofisini), eti kiongozi, kiongozi wa nani?2. CCM wanasikitika sana Zitto kusimamishwa uongozi, hii nalo ni janga, na nia ajabu. Karibu CCM wengi wanamtetea, kuna nini?3. Dharau;- Kabla hata ya siku 14 kuisha, anakimbilia kwa wanahabari huku akipata sapoti ya CCM, duu. Kali zaidi ni alipoenda redioni, ka. Yaani anaidharau Kamati kuu, kwanini asingekaa kimya.Najua inawezekana kukawa na sababu nyingi tu, ila kwa mimi NASEMA;- Kwa heri CDM iwapo Zitto ataendelea kuwa mwanachama wa CDM.