Nasari kupoteza ubunge wake kama Lema

Nasari kupoteza ubunge wake kama Lema

Wapuuzi wakubwa hawandio wanao fuja pesa za walalahoi wanao vuja jasho juu ya taifa hili masikini.viva chadema
 
akili ya wana ccm ni ndogo sana ss na chadema yetu ya watu makini ccm tumewachoka hatuwataki
 
Tetesi za uhakika kutoka ndani ya CCM ni kwamba kuna timu ya watu Tisa(9) wamepewa kazi ya kutafuta na kukusanya ushahidi wa maneno machafu yaliyotumika wakati wa kampeni, ili ifunguliwe kesi kupinga ushindi wa Nasari kwa madai kwamba mpinzani wake alisingiziwa kwamba ni shoga ilihali si kweli hivyo kupoteza mvuto kwa wapiga kura.

My take. Kama alivyodai mwana CCM mmoja kwamba nia yao kubwa siyo kwamba wanataka uchaguzi urudiwe ili washinde, nia yao kubwa ukiachilia mbali kwamba wanasahaulisha CHADEMA kujipanga namna ya kupambana ipatikane Katiba mpya iliyo bora pia ni kukifanya CHADEMA kiwe busy na masuala ya kesi na kutumia rasilimalizao chache zilizopo kughalamia michakato ya chaguzi ndogo ili ifikapo mwaka 2015 wasiwe na resources za kutosha kukabiliana na CCM.

CHADEMA kinapokuwa busy ndo kinaongeza mvuto na kupendwa zaidi na wananchi. Rasilimali kuu ya CDM ni watu (nguvu ya umma) na kadri muda unavyokwenda ndo inazidi kuongezeka. Kama Wanawaza hivyo wanasumbua na kuzidi kukera wananchi.
 
Kikwete ni mtu wa ajabu sana anawezaje kuwaburuza Lusinde na Mkapa namna hii huku yeye katulia tuli ikulu kutunza heshima yake.

Kwani hao kina Mkapa na Lusinde walilazimishwa? na hata kama ndio hivyo Kikwete aliwafundisha wakatukane na kukashif watu, Mzee mzima mwenye akili zake timam anaweza kukaa na kutukana watu? mbona mnamsingizia Kikwete wa watu bure! nadhani ni njaa za posho na kutaka umaarufu ndio kunawaponza watu hawa hapa siono kama Kikwete anahusika mnamsingizia.
 
CHADEMA kinapokuwa busy ndo kinaongeza mvuto na kupendwa zaidi na wananchi. Rasilimali kuu ya CDM ni watu (nguvu ya umma) na kadri muda unavyokwenda ndo inazidi kuongezeka. Kama Wanawaza hivyo wanasumbua na kuzidi kukera wananchi.

Kweli ukisikia mtandao fulani umeweka madarakani Rais lazima nchi iendeshwe kimtandao tandao. Nina atakubali ushenzi huu ufanyike kwa mabirioni ya pesa huku wakisambaza nyaraka mawizarani kupunguza matumizi ya serikali
 
Tetesi za uhakika kutoka ndani ya CCM ni kwamba kuna timu ya watu Tisa(9) wamepewa kazi ya kutafuta na kukusanya ushahidi wa maneno machafu yaliyotumika wakati wa kampeni, ili ifunguliwe kesi kupinga ushindi wa Nasari kwa madai kwamba mpinzani wake alisingiziwa kwamba ni shoga ilihali si kweli hivyo kupoteza mvuto kwa wapiga kura.

My take. Kama alivyodai mwana CCM mmoja kwamba nia yao kubwa siyo kwamba wanataka uchaguzi urudiwe ili washinde, nia yao kubwa ukiachilia mbali kwamba wanasahaulisha CHADEMA kujipanga namna ya kupambana ipatikane Katiba mpya iliyo bora pia ni kukifanya CHADEMA kiwe busy na masuala ya kesi na kutumia rasilimalizao chache zilizopo kughalamia michakato ya chaguzi ndogo ili ifikapo mwaka 2015 wasiwe na resources za kutosha kukabiliana na CCM.

Unachezea viroba original wewe!
 
Tetesi za uhakika kutoka ndani ya CCM ni kwamba kuna timu ya watu Tisa(9) wamepewa kazi ya kutafuta na kukusanya ushahidi wa maneno machafu yaliyotumika wakati wa kampeni, ili ifunguliwe kesi kupinga ushindi wa Nasari kwa madai kwamba mpinzani wake alisingiziwa kwamba ni shoga ilihali si kweli hivyo kupoteza mvuto kwa wapiga kura.

My take. Kama alivyodai mwana CCM mmoja kwamba nia yao kubwa siyo kwamba wanataka uchaguzi urudiwe ili washinde, nia yao kubwa ukiachilia mbali kwamba wanasahaulisha CHADEMA kujipanga namna ya kupambana ipatikane Katiba mpya iliyo bora pia ni kukifanya CHADEMA kiwe busy na masuala ya kesi na kutumia rasilimalizao chache zilizopo kughalamia michakato ya chaguzi ndogo ili ifikapo mwaka 2015 wasiwe na resources za kutosha kukabiliana na CCM.
toeni upumbavu hapa.
fanyeni kazi.
 
ccm ndiyo zao mahakamani watashinda turudi jimboni watawakoma chadema
 
Tunaweka mizania ya matusi cdm na ccm. Lisinde mwenyewe kawa mdogo ka poritoni. Waje tu wapate ngumi za macho
 
Ccm wanatapatapa ni sawa na mfamaji, wao wanatakiwa
wajiulize kwanini hawana mvuto kwa wananchi wake huu sio
wakati wa kuangaika na Chadema.
CHADEMA ni taasisi iliyokamili INASHAMBULIA NA KUKABA ondoa
shaka na mipango ya maji taka ya ccm
 
kutumia mihimili ya serikali kuua upinzani itawacost,ikumbukwe bunge ndo liliijenga cdm baada ya kumtia mh ZITTO na ile buzwagi yake,leo mahakama inatumika kuimarisha cdm arusha,asante mahakama kwa kuongeza harakati arusha!
 
Makamanda tusiwe na hofu kesi ya nasar wakili atakuwa ťundu lisu hapatatosha. Wametumia usalama wa taifa jeshi la polisi tume ya uchaguzi kote wameona wanakwama wameanza kutumia mahakama. Makamanda taifa hili litakombolewa kwa stail ya pekee na magamba hawataamini. Cdm. Wanajua mbiinu za magamba tanga wakianza kuzipanga hadi mwisho. Safari hii tunajitoa mhanga kuchangia chama mpaka kishinde.
 
Ccm wanatapatapa ni sawa na mfamaji, wao wanatakiwa
wajiulize kwanini hawana mvuto kwa wananchi wake huu sio
wakati wa kuangaika na Chadema.
CHADEMA ni taasisi iliyokamili INASHAMBULIA NA KUKABA ondoa
shaka na mipango ya maji taka ya ccm

Wananikera sana hawa watu kwa fitna
 
CCM NDO INAZIDI KUCHUKIWA. CCM ILIKUWA INANYANYAPALIWA KAMA mkojo SASA INANYANYAPALIWA KAMA kinyesi.
 
CDM wanatakiwa kilinda sheria kama wametukana na sheria za tume ya uchaguzi zinakataza ni haki yao kunyanganywa ushindi na kama kweli wana uchungu na pesa walipa kodi waache kuvunja sheria. CCm wana haki ya kupinga matokeo hivyo wakutuhumiwa ni CDM mamilioni ya kodi yatapotea kwa matusi yao
 
Chochote CCM watakachofanya, hasara na aibu iko upande wao daima. Ikumbukwe kwamba CCM ni chama chenye nusu karne leo hii kinateswa na chama ambacho umri wake haufiki hata robo ya umri wa CCM!!! CCM imechokwa na kuchoka, wanatakiwa wajipange upya badala ya kufikiria kesi za namna ya kutengua matokeo ya chaguzi zinapokamilika!
 
Back
Top Bottom