bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,113
- 3,117
sijaingia chaka nimekuachia Mzigo
mzigo umesepa jamaa yangu .
sijaingia chaka nimekuachia Mzigo
ahahaaaa mkuu tuheshimiane mi simegwi
kwa kweli tumeendelea
Kila la kheri Madame B....wenye mashine kubwa mjitokeze....he he he he...:yell: :yell: :heh::heh:
Yaani....nini kinafuata? tusubiri tusome....Mwaka 2012 dunia yako,chagua lako..chagua.....:yell::yell:
Mmmmh mbona kama unamtetea? ushajitokeza via PM nini??? he he he...dunia yako,chaguo lako...!!Acha uchokozi wewe!
mmh...taratibu..halafu ni mimi na wewe tu
ndo tunaona 'haya maendeleo'
wengine its normal..
i missed you...
Yaani....nini kinafuata? tusubiri tusome....Mwaka 2012 dunia yako,chagua lako..chagua.....:yell::yell:
Mmmmh mbona kama unamtetea? ushajitokeza via PM nini??? he he he...dunia yako,chaguo lako...!!
halafu ni mimi na wewe tu
ndo tunaona 'haya maendeleo'
wengine its normal..
i missed you...
....mashine kubwa!:A S-coffee: LOl halafu umepotea sana bana
Jamani wana Jf,natafuta mume wa kunioa,p'se mwombaji awe na sifa hizi:
1. Awe na Mashine kubwa (sina utani na hili jamani)
2. Awe angalau ana kazi au biashara yoyote ile
3. Umri miaka 28-35. Mimi nina miaka 27.
4. Awe mvumilivu,mpole,mwenye huruma na mpiganaji maana atapigana sana na watu.
5. Mwisho anipende sana na awe tayari kupima UKIMWI.
wenye vibamia wote tutawajua hapa leo kelele mingii , tuangalie tu michele .....teh tehHe he he he....jitokeze bana....usione sooo....nimerudi bana,mambo yenyewe si unayaona??? :shock: :car:
Jamani wana Jf,natafuta mume wa kunioa,p'se mwombaji awe na sifa hizi:
1. Awe na Mashine kubwa (sina utani na hili jamani)
2. Awe angalau ana kazi au biashara yoyote ile
3. Umri miaka 28-35. Mimi nina miaka 27.
4. Awe mvumilivu,mpole,mwenye huruma na mpiganaji maana atapigana sana na watu.
5. Mwisho anipende sana na awe tayari kupima UKIMWI.