FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,708
- 4,493
Habari wakuu, nafanya kazi za kusafisha viwanja, mashamba n.k. Kama una eneo naomba tuwasiliane nikusafishie.
Mimi niko Dar.
Mimi niko Dar.
wapi huko mkuu?Twende kijijini kwenye mashamba ya urithi ambako tutayasafisha na kuvuna huku hakuna la ziada
kazi ya moderator hiyo mkuu.Kusafisha Jf ni bei gani?
Heka Moja unafanya Kwa bei gani?Habari wakuu, nafanya kazi za kusafisha viwanja, mashamba n.k. Kama una eneo naomba tuwasiliane nikusafishie.
Mimi niko dar.
mkuu inategemea na shamba lina majani miti kiasi gani.Heka Moja unafanya Kwa bei gani?
Ok ... Ingekuwa mkoani unaenda ningeweza kukupa kazi wilayani korogwe. Nita ekari tano hukomkuu inategemea na shamba lina majani miti kiasi gani.
ila kima cha chini kabisa kusafisha heka moja ni 30000.
mkuu naweza kwenda kama uko serious naomba tuongeeOk ... Ingekuwa mkoani unaenda ningeweza kukupa kazi wilayani korogwe. Nita ekari tano huko
Weka namba ya simuHabari wakuu, nafanya kazi za kusafisha viwanja, mashamba n.k. Kama una eneo naomba tuwasiliane nikusafishie.
Mimi niko Dar.
umefunga pm kaka najaribu kukutumia namba inashindikana.Weka namba ya simu
Unahangaika na pm ya nini mkuu ungeweka namba hapaumefunga pm kaka najaribu kukutumia namba inashindikana.
Ok sikujua, hua situmii pm, wacha nifungueumefunga pm kaka najaribu kukutumia namba inashindikana.
weka namba kwenye post juu kule ingekua rahisi sanaumefunga pm kaka najaribu kukutumia namba inashindikana.
Sijafanikiwa kuona settings za pmumefunga pm kaka najaribu kukutumia namba inashindikana.
wapi huko?Njooni huku kipindi Cha kilimo hichi