Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,731
Kwa hivyo vitu nilivyomuachi sina wasiwasi ishu ni yeye mwenyewe ndio ananipa head ache
Na watu mechi za wizi huwa wanajituma kinyama wakufunike mwenye mali, uonekane mjinga mjinga
blaza niamini nikusaidie kumuangalia shemegi...Nina mawazo tu hapa njiani nikitembea naye wahuni wanaacha shughuli zao wanamuangalia akiwa peke yake ndo kabisaaa ksi ksi ksi haziishi
Duh! Hatari sana.Ana mimba yangu
Sasa ule peke ako kwani sumu ile? Acha jamaa wajipigie nao wafaudu
kama hataki fiencee wake achapwe tree si amfunge coomer track?Tutamsitiri kwa niaba yako. In case akizidiwa sasa afanyeje... Kama unaogopa ivo vitu, ni bora umuoe kabisa ndio figisu figisu za wabongo zitapungua. Dem hata hujamvalisha engagement ring alafu unadai una hati miliki naye? Kama vipi kabla hujaondoka mtie pete ya engagement kidoleni ndio tutamuheshim kama shem, hivi hivi lazima apitiwe tu kwani hakuna namna.
Wee ndio umezidi kunvuruga! Nataka kuibikiri passport baada ya kubahatisha kisafari kwa watu, huu Uzi umenkoroga na wewe ndio umeua
Mkuu cha msingi ni kumuandaa huyo mwanamke kupambana na vishawishi.
Kumjengea uwezo wa kuwa mwaminifu, na pia kuwa mvumilivu katika kipindi chote ambacho haupo.
Jaribu kumuonesha upendo na mapenzi ya hali ya juu kwa kipind kifupi kilicho baki.
Ukiwa mbali, huko nje... jaribu kuwa na mawasiliano nae ya karibu.
Usijifanye unamchunguza chunguza saana, utaharibu.
Kila la kheri mkuuu, ila lazima uelewe kwamba hata ungekuwa na msichana mkali vip lazima kuna kipind hauta kuwa nae benet. So lazima mjenge dhana ya uaminifu na pia kushinda vishawish
Mmmmh! pole maharagwe nayo kila siku yanachosha!
Sina jinsi nitakua nje ya nchi kwa mwezi huu wote labda mambo yakienda vizuri wakati wa siku kuu nitarudi japo possibility ni ndogo ni safari ya kikazi(sio ya kiserikali) hofu yangu kubwa ni kuchapiwa my bloody nampenda sana lakini watu wanamsumbua sana wakimdannganya wajanja wa mjini nimeisha.
Maana nimemuachia kila kitu funguo ya gari funguo ya nyumba japo yupo chuo na biashara zangu atasimamia yeye
Jamani have respect on my girlfriend sitaki mumsumbue pleaseee!