Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,192
- 13,736
We feel your pain dear UtoMchezaji anayepata namba kwenye timu Mbovu akienda Yanga hata sub akai kwa sasa
We feel your pain dear UtoMchezaji anayepata namba kwenye timu Mbovu akienda Yanga hata sub akai kwa sasa
We jamaa ni muongo. Mayele kawapindua beki zenu na kusawazisha alikuwemo na alipotezwa pale kati.Umesahau aliwafanya nini pale kwa Mkapa kile kipindi cha kwanza mlipoutafuta kwa tochi, mkaja kupumua baada ya kocha kumtoa, uto una kumbukumbu fupi sana.
Leo huku kwetu ni mlete..... mlete.....mlete...!!
Wakiendelea kubisha na kuumia tunapakia video ya mzungu akipiga goli.We feel your pain dear Uto
Kwani ashasajiliwa na Yanga?Unaruudia wewe kama nani? Aziz Ki ana assist na magoli mangapi?
Nikikumbuka Nkana walivyokufa kwa goli mtangazaji aliliuliza kama macho yake yanaona kama mimi nakuona kinyesi kimekujaa kichwaniUlishawahi kujiuliza kwanini huyu dogo anafanya vyema sana akiwa anacheza na timu za mikoani? Hivi kwanini akiwa nje ya Lupaso hana maajabu sana?
Ushawahi kujiuliza kwanini ameshindwa kuperfom vyema kwenye medani za waarabu tena nyakati mbili tofauti?
Yea. Jibu ni "Huyu ni mchezaji wa mechi ndogo" yaani uwezo wake unategemea pakubwa mapungufu ya mpinzani. Dogo hajawahi kutoa "WOW" type of perfomance katika medani kuu za soka barani afrika.
Yaani kiufupi ndio hivyo. Ndio maana hajawahi hata kumaliza dakika 90 kwenye Kariakoo Derby yeyote ile aliyo cheza, licha ya uwezo wake mnao uona kila siku.
Kibaya zaidi hana uwezo wa kuibeba timu, yaani timu ikiwa katika hali ya kuhitaji individual brilliance Chama hawezi kukupa hiko kitu.
Ni sawa kuonekanaa anaweza weza pale Simba kwa sababu klabu kwa sasa haina kariba ya wachezaji wa hadhi ya juu.
Kamuulize ShabalalaUnaruudia wewe kama nani? Aziz Ki ana assist na magoli mangapi?
Tumuulize ShabalalaKwani ashasajiliwa na Yanga?
Uzi ufungwe
Kwahiyo kwako wewe mechi kubwa ni dhidi ya yanga au sio zile za Caf sio mechi kubwa? Basi sawa tumesikia akili za taahira
poleeeee kwa maumivu lol
Umemaliza ubishi wa hili topolo
Amefanya mra ngapi hiko mnachodai?Umesahau aliwafanya nini pale kwa Mkapa kile kipindi cha kwanza mlipoutafuta kwa tochi, mkaja kupumua baada ya kocha kumtoa, uto una kumbukumbu fupi sana.
Leo huku kwetu ni mlete..... mlete.....mlete...!!