Napokea Order ya Crips,Tambi na Chaulo

SDG

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2017
Posts
7,631
Reaction score
8,076
Habar watu wa JF.
Napenda kuwatangazia kwamba natengeneza Crips za ndizi,mihogo na viazi,tambi za dengu (za pilipili na zisizo na pilipili), chaulo na karanga za mayai.
Bidhaa hizi nauza kwa bei ya jumla.
Kuna pakiti za mia 500, mia 400,na mia 800.
Napatikana Dar es Salaam.
Kwa anayehitaji tunaweza kufanya biashara.
 
Umesahau kuweka namba ya simu ya biashara yako
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…