Flyover ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi ili kupunguza traffic jam. Unajua ni sh ngap zinapotea kwa siku kwa sababu ya foleni Dar? Pesa itakayookolewa itasaidia kurekebisha huko kwengine.
Napinga ujengwaji wa barabara za juu au flyover Dar, badala yake hizo fedha zipelekwe kwanza Mikoani, Wilayani ambako hamna Barabara, kwa mfano kwenye kuunganisha Mikoa kwa Mikoa kama vile Tabora-Mbeya, Mtwara- Ruvuma, Kondoa-Handeni, Ifakara- Handeni-Lushoto, Arusha- Musoma n.k kwa kufanya hivyo kutawezesha pia Watu waishio mikoa mingine kujikomboa kiuchumi, Dar tayari tuko mbali sana kiuchumi ukilinganisha ni mikoa mingine, hivyo haileti maana kuendelea kuwekeza fedha zote hapa Dar!
Halafu isitoshe kabla hata ya kufikiri kujenga hizo flyover kwanza barabara za mitaani zote zijengwe na kupitika kama walivyofanya Barabara za oysterbay,Masaki, ambazo zimewaondelea foleni wakazi wa huko ingawaje uwiano wa watu wenye magali kwa wakazi wa huko ni mkubwa kuliko sehemu yoyote ile ya nchi yetu hivyo basi wajenge kwanza br pia sehemu kama za Sinza, Magomeni, Temeke, Vingunguti, n.k yaani flyover ziwe hatua ya mwisho kabisa!
Kwa rejesha mawazo yako kwenye theory ya .....Center - Peripheral relations, halafu jiulize jinsi uchumu wa nchi unavyorudi nyuma kwa watu kukaa kwenye foleni muda mrefu - muda wa kazi na mapumziko kupotelea njiani kwa kuchelewa kufika kazini na kurudi nyumbani, mafuta, vipuri n.
Utafiti umefanyika ya kutosha na ukakidhi haja ya kuwa na hizo barabara za juu. Huko kwingine kutapiga hatua kama Dar itasonga mbele vilevile.
Wazo lako ni zuri lakini hiyo avatar yako ni utata mtupu
Hakuna flyover inayojengwa Dar,kinachotarajiwa kujengwa kinaitwa Upper passage.
Napinga ujengwaji wa barabara za juu au flyover Dar, badala yake hizo fedha zipelekwe kwanza Mikoani, Wilayani ambako hamna Barabara, kwa mfano kwenye kuunganisha Mikoa kwa Mikoa kama vile Tabora-Mbeya, Mtwara- Ruvuma, Kondoa-Handeni, Ifakara- Handeni-Lushoto, Arusha- Musoma n.k kwa kufanya hivyo kutawezesha pia Watu waishio mikoa mingine kujikomboa kiuchumi, Dar tayari tuko mbali sana kiuchumi ukilinganisha ni mikoa mingine, hivyo haileti maana kuendelea kuwekeza fedha zote hapa Dar!
Halafu isitoshe kabla hata ya kufikiri kujenga hizo flyover kwanza barabara za mitaani zote zijengwe na kupitika kama walivyofanya Barabara za oysterbay,Masaki, ambazo zimewaondelea foleni wakazi wa huko ingawaje uwiano wa watu wenye magali kwa wakazi wa huko ni mkubwa kuliko sehemu yoyote ile ya nchi yetu hivyo basi wajenge kwanza br pia sehemu kama za Sinza, Magomeni, Temeke, Vingunguti, n.k yaani flyover ziwe hatua ya mwisho kabisa!
Unajua Uchumi unasimama kwa kiasi gani kwa watu Mikoa kwa mikoa kutokuwa na mawasiliano? Unajua Mkulima wa Ifakara anaathirika kwa kiasi gani au angefaidika vipi kama angeweza kusafirisha mazao yake mpaka Tanga au Arusha bila shida? Unaelewa hilo lingechangia ukuaji wa Uchumi kwa kiasi gani?
Yaani hiyo avatar ilinifanya nirudi tena kuangalia, nilichokiona nisahihi au macho yamwnidanganya. Na je kuna ujumbe gani anatuma kupitia avatwr hiyo.Wazo lako ni zuri lakini hiyo avatar yako ni utata mtupu
Hakuna flyover inayojengwa Dar,kinachotarajiwa kujengwa kinaitwa Upper passage.
Wazo lako ni zuri lakini hiyo avatar yako ni utata mtupu