The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Bwawa la umeme litajengw tu hakuna namna.
Kumbe zinatengenezeka, kwaio CAG amewapotosha watanzania na viongozi wake kwa ujumla kwa kudai kuwa zikiharibika hazitotengenezeka.Zinatakiwa zika tengenezewe nyumba kwa mkulima anaye Tudai ndiko gereji ilipo!
Mkuu,CAG ametoa riport nzuri na kuibua matumizi mabovu na yasiyo na tija katika taasis za serikali , ambapo wa kulaumiwa ni watu wa chini Sana wa hayati Rais Magufuli, hata leo unaweza kukuta watu wamefanya matumizi mabovu ya serikali na sitegemei Rais Samia kuwa na macho 10000 kumulika kila level na kuona kila Baya huku chini, mifumo ni mibovu Sana.
Tuende kwenye mada yangu, Mradi wa umeme wa maji ni mradi ambao unaweza kupunguza Bei ya umeme na uwekezaji wake unatumia pesa nyingi kwa Mara ya kwanza lakini baada ya hapo ngarama za uendeshaji ni ndogo Sana pamoja na matengenezo, mfano kila Mwezi mitambo ya gesi ya kinyerezi unatumia takriban bil 4 za matengenezo/maintenance ambapo ukilinganisha na mtambo wa kidatu wa maji hata milioni 100 haifiki.
Point yangu ni kuwa CAG nataka kujua ametumia wataalamu gani wa HEP kuweza kujua kuwa upembuzi wa mwaka 1970 haufai, ofisi yake Haina wataalamu hao, na TANESCO walishathibitisha kuwa upembuzi ule bado ungeweza kufanya kazi Hadi leo, kwanza niwaambie, katika mito yote nchini Tanzania hakuna mto wenye maji mengi kushinda ama kukaribia RUFIJI river inapojengwa stiglers , Sasa mtasemaje kwamba hauwezi kuzalisha umeme wa kutosha.
Mi ningeomba wataalamu wa Rufiji basin, tanesco Na wengine wake waongelee Hilo suala sio kila kitu kupinga. Huu mradi una manufaa Tanzania mto ule ndo una maji mengi kuliko yote mlitaka tujenge bwawa wapi, ???
Hapa CAG Kama unataka tuende kwenye Gesi ambayo ni yetu lakini tunauziwa sawa, Tpdc anauziwa Gesi na makampuni ya nje yanayochimba Gesi kwetu halaf wao wanawauzia tanesco kuzalisha umeme, kwa Bei kubwa mno, Stiglers tu ndo inaweza kuikomboa tanesco Na watanzania, haya magesi ya muhongo hayafai
Ndio maana nikamuuliza anahisi ile ofisini ni ya wacheza ngoma? Pia ili watoe ushauri wao ni lazima wazingatie Best practice hawakurupuki.Hajui CAG ofisi yake ina watu wote unaowajua Engineers,lawyers,doctors n.k
CAG sio mtu, ni taasisi!! Nyuma yake kuna kila mtaalam unaye mjua.CAG ametoa riport nzuri na kuibua matumizi mabovu na yasiyo na tija katika taasis za serikali , ambapo wa kulaumiwa ni watu wa chini Sana wa hayati Rais Magufuli, hata leo unaweza kukuta watu wamefanya matumizi mabovu ya serikali na sitegemei Rais Samia kuwa na macho 10000 kumulika kila level na kuona kila Baya huku chini, mifumo ni mibovu Sana.
Tuende kwenye mada yangu, Mradi wa umeme wa maji ni mradi ambao unaweza kupunguza Bei ya umeme na uwekezaji wake unatumia pesa nyingi kwa Mara ya kwanza lakini baada ya hapo ngarama za uendeshaji ni ndogo Sana pamoja na matengenezo, mfano kila Mwezi mitambo ya gesi ya kinyerezi unatumia takriban bil 4 za matengenezo/maintenance ambapo ukilinganisha na mtambo wa kidatu wa maji hata milioni 100 haifiki.
Point yangu ni kuwa CAG nataka kujua ametumia wataalamu gani wa HEP kuweza kujua kuwa upembuzi wa mwaka 1970 haufai, ofisi yake Haina wataalamu hao, na TANESCO walishathibitisha kuwa upembuzi ule bado ungeweza kufanya kazi Hadi leo, kwanza niwaambie, katika mito yote nchini Tanzania hakuna mto wenye maji mengi kushinda ama kukaribia RUFIJI river inapojengwa stiglers , Sasa mtasemaje kwamba hauwezi kuzalisha umeme wa kutosha.
Mi ningeomba wataalamu wa Rufiji basin, tanesco Na wengine wake waongelee Hilo suala sio kila kitu kupinga. Huu mradi una manufaa Tanzania mto ule ndo una maji mengi kuliko yote mlitaka tujenge bwawa wapi, ???
Hapa CAG Kama unataka tuende kwenye Gesi ambayo ni yetu lakini tunauziwa sawa, Tpdc anauziwa Gesi na makampuni ya nje yanayochimba Gesi kwetu halaf wao wanawauzia tanesco kuzalisha umeme, kwa Bei kubwa mno, Stiglers tu ndo inaweza kuikomboa tanesco Na watanzania, haya magesi ya muhongo hayafai
CAG wetu amekua zaidi hata ya Google,Kuna rafiki yangu usiku wa kuamkia leo saa 1 alinitumia msg kunionesha hio ishu akiwa anafurahia. Nikamuuliza swali hadi sasa kashindwa kujibu, je ndege hizo hazina spea hata CAG aseme kuwa hazitengenezeki? Maana 787 ni ndege ya juzi tu katia line ya boeing, hizo bombardie nazo za juzi tu, sasa feni likiharibika, CAG anatwambia haitotengenezeka Alichoweza kuniambia ni kuwa CAG ndio kasema!
Nakubaliana na wewe. Sema watu wameingiza siasa kwenye taaluma.Ndio maana nikamuuliza anahisi ile ofisini ni ya wacheza ngoma? Pia ili watoe ushauri wao ni lazima wazingatie Best practice hawakurupuki.
Inaonekana mambo yanayo husu taarifa za taaluma uko mbali nazo.CAG ni taasisi inayo sheheni taaluma nyeti kama unahitaji kuelewa zaidi mtembelee akueleweshe na usome draft zake majibu utayapata sio hapa jamvini.CAG ametoa riport nzuri na kuibua matumizi mabovu na yasiyo na tija katika taasis za serikali , ambapo wa kulaumiwa ni watu wa chini Sana wa hayati Rais Magufuli, hata leo unaweza kukuta watu wamefanya matumizi mabovu ya serikali na sitegemei Rais Samia kuwa na macho 10000 kumulika kila level na kuona kila Baya huku chini, mifumo ni mibovu Sana.
Tuende kwenye mada yangu, Mradi wa umeme wa maji ni mradi ambao unaweza kupunguza Bei ya umeme na uwekezaji wake unatumia pesa nyingi kwa Mara ya kwanza lakini baada ya hapo ngarama za uendeshaji ni ndogo Sana pamoja na matengenezo, mfano kila Mwezi mitambo ya gesi ya kinyerezi unatumia takriban bil 4 za matengenezo/maintenance ambapo ukilinganisha na mtambo wa kidatu wa maji hata milioni 100 haifiki.
Point yangu ni kuwa CAG nataka kujua ametumia wataalamu gani wa HEP kuweza kujua kuwa upembuzi wa mwaka 1970 haufai, ofisi yake Haina wataalamu hao, na TANESCO walishathibitisha kuwa upembuzi ule bado ungeweza kufanya kazi Hadi leo, kwanza niwaambie, katika mito yote nchini Tanzania hakuna mto wenye maji mengi kushinda ama kukaribia RUFIJI river inapojengwa stiglers , Sasa mtasemaje kwamba hauwezi kuzalisha umeme wa kutosha.
Mi ningeomba wataalamu wa Rufiji basin, tanesco Na wengine wake waongelee Hilo suala sio kila kitu kupinga. Huu mradi una manufaa Tanzania mto ule ndo una maji mengi kuliko yote mlitaka tujenge bwawa wapi, ???
Hapa CAG Kama unataka tuende kwenye Gesi ambayo ni yetu lakini tunauziwa sawa, Tpdc anauziwa Gesi na makampuni ya nje yanayochimba Gesi kwetu halaf wao wanawauzia tanesco kuzalisha umeme, kwa Bei kubwa mno, Stiglers tu ndo inaweza kuikomboa tanesco Na watanzania, haya magesi ya muhongo hayafai
kama inakuuma chomoa uondoke CAG ndio mtaalamCAG wetu amekua zaidi hata ya Google,
Kila kitu anajua,
Kuna rafiki yangu usiku wa kuamkia leo saa 1 alinitumia msg kunionesha hio ishu akiwa anafurahia. Nikamuuliza swali hadi sasa kashindwa kujibu, je ndege hizo hazina spea hata CAG aseme kuwa hazitengenezeki? Maana 787 ni ndege ya juzi tu katia line ya boeing, hizo bombardie nazo za juzi tu, sasa feni likiharibika, CAG anatwambia haitotengenezeka Alichoweza kuniambia ni kuwa CAG ndio kasema!
Mjomba ndege sio gari kuna kipindi lazima ziende gereji kuu na hko gereji kuu ndio nyumbani kwa mkulima anae Tudai ata zidaka !Kuna rafiki yangu usiku wa kuamkia leo saa 1 alinitumia msg kunionesha hio ishu akiwa anafurahia. Nikamuuliza swali hadi sasa kashindwa kujibu, je ndege hizo hazina spea hata CAG aseme kuwa hazitengenezeki? Maana 787 ni ndege ya juzi tu katia line ya boeing, hizo bombardie nazo za juzi tu, sasa feni likiharibika, CAG anatwambia haitotengenezeka Alichoweza kuniambia ni kuwa CAG ndio kasema!
Sasa si ndio maana Magufuli akamchamchagua? Au unataka sema magu alikosea kumchagua?CAG wetu amekua zaidi hata ya Google,
Kila kitu anajua,
Mkuu CAG anawataalamu wa kila aina na wapo well trained, watumishi wa ofisi yake wameendelezwa kielimu.CAG wetu amekua zaidi hata ya Google,
Kila kitu anajua,
wanasema kuwa ameshirikisha wataalamu mbali mbali. Mpaka sasa sijui mtaalamu gani amekuwa na ujasiri wa kusema ndege hazitengenezeki.CAG wetu amekua zaidi hata ya Google,
Kila kitu anajua,
Mwendazake alimshirikisha mganga wake kwenye kujenga hilo bwawa ili aibe kma kawaida yakeCAG ametoa riport nzuri na kuibua matumizi mabovu na yasiyo na tija katika taasis za serikali , ambapo wa kulaumiwa ni watu wa chini Sana wa hayati Rais Magufuli, hata leo unaweza kukuta watu wamefanya matumizi mabovu ya serikali na sitegemei Rais Samia kuwa na macho 10000 kumulika kila level na kuona kila Baya huku chini, mifumo ni mibovu Sana.
Tuende kwenye mada yangu, Mradi wa umeme wa maji ni mradi ambao unaweza kupunguza Bei ya umeme na uwekezaji wake unatumia pesa nyingi kwa Mara ya kwanza lakini baada ya hapo ngarama za uendeshaji ni ndogo Sana pamoja na matengenezo, mfano kila Mwezi mitambo ya gesi ya kinyerezi unatumia takriban bil 4 za matengenezo/maintenance ambapo ukilinganisha na mtambo wa kidatu wa maji hata milioni 100 haifiki.
Point yangu ni kuwa CAG nataka kujua ametumia wataalamu gani wa HEP kuweza kujua kuwa upembuzi wa mwaka 1970 haufai, ofisi yake Haina wataalamu hao, na TANESCO walishathibitisha kuwa upembuzi ule bado ungeweza kufanya kazi Hadi leo, kwanza niwaambie, katika mito yote nchini Tanzania hakuna mto wenye maji mengi kushinda ama kukaribia RUFIJI river inapojengwa stiglers , Sasa mtasemaje kwamba hauwezi kuzalisha umeme wa kutosha.
Mi ningeomba wataalamu wa Rufiji basin, tanesco Na wengine wake waongelee Hilo suala sio kila kitu kupinga. Huu mradi una manufaa Tanzania mto ule ndo una maji mengi kuliko yote mlitaka tujenge bwawa wapi, ???
Hapa CAG Kama unataka tuende kwenye Gesi ambayo ni yetu lakini tunauziwa sawa, Tpdc anauziwa Gesi na makampuni ya nje yanayochimba Gesi kwetu halaf wao wanawauzia tanesco kuzalisha umeme, kwa Bei kubwa mno, Stiglers tu ndo inaweza kuikomboa tanesco Na watanzania, haya magesi ya muhongo hayafai
Kwaiyo adi sasa hujaelewa kwamba hazitengeneki!!!!Kumbe zinatengenezeka, kwaio CAG amewapotosha watanzania na viongozi wake kwa ujumla kwa kudai kuwa zikiharibika hazitotengenezeka.
Hukutoa jibu bado na wewe unazunguka. Ndege ikihaibiki vipi haitengenezeki?Kwa hiyo wewe unachojua ni kuwepo kwa spea tu.
Mataga,
Magufuli keshakufa tuna rais mwingine tena bahati nzuri kwenu ni wa hukohuko CCM.
Hata sisi huku uraiani tupo well trained and well informed as well so they should put their house inorder "wanapotoa " ripoti zao.Mkuu CAG anawataalamu wa kila aina na wapo well trained, watumishi wa ofisi yake wameendelezwa kielimu.